Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kabla sijazungumza naomba nitoe sifa za jimbo la Segerea.
Jimbo la Segerea lina kata 13, CCM hawana kata hata moja.
Jimbo la Segerea lina madiwani 13 na ndio jimbo pekee nchini Tanzania CCM hawana diwani hata mmoja.
Jimbo la Segerea lina mitaa 51, CUF ana mitaa 19, CHADEMA ina 22 na CCM wana mitaa 9 ambayo hadi sasa hawajui kama watabaki nayo
Tunawaomba wapinzani 2020 makosa yale makosa yaliyofanywa na kina Mtatiro na Anatropia ya kugawana kura 2015 yasijirudie tena
Jimbo la Segerea tumeshajiandaa na mageuzi ya 2020
Jimbo la Segerea lina kata 13, CCM hawana kata hata moja.
Jimbo la Segerea lina madiwani 13 na ndio jimbo pekee nchini Tanzania CCM hawana diwani hata mmoja.
Jimbo la Segerea lina mitaa 51, CUF ana mitaa 19, CHADEMA ina 22 na CCM wana mitaa 9 ambayo hadi sasa hawajui kama watabaki nayo
Tunawaomba wapinzani 2020 makosa yale makosa yaliyofanywa na kina Mtatiro na Anatropia ya kugawana kura 2015 yasijirudie tena
Jimbo la Segerea tumeshajiandaa na mageuzi ya 2020