Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mara ya 2 hii kuwatumia jeshi la polisi kupiga watu misikiti.
Sijasikia polisi kwenda kumkamata au kumpiga mabomu askofu Gamanya aliedhalilisha polisi ambao walitoa taarifa ya Kukamatwa kwa Aliempiga ulimboka.
ni wazi Lile tukio la kiongozi wa kikiristo kutoa maneno ya Uchochezi dhidi ya jeshi la Polisi ambalo tayari lishatoa taarifa yake lkn Pia kesi ilikuwa mahakamani.
nchimbi unatakiwa ujiuzulu kwa kushindwa kuzuia hisia zako
Sijasikia polisi kwenda kumkamata au kumpiga mabomu askofu Gamanya aliedhalilisha polisi ambao walitoa taarifa ya Kukamatwa kwa Aliempiga ulimboka.
ni wazi Lile tukio la kiongozi wa kikiristo kutoa maneno ya Uchochezi dhidi ya jeshi la Polisi ambalo tayari lishatoa taarifa yake lkn Pia kesi ilikuwa mahakamani.
nchimbi unatakiwa ujiuzulu kwa kushindwa kuzuia hisia zako