sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,029
Asante Azam Media, Kampuni ambayo imechochea san aukuaji wa soka Tz, Mechi zote huzionyesha kwenye tv bila kujali ukubwa wa timu wala eneo
114,272,966.78 USD kwa miaka 10
97,284,020.03 USD baada ya government taxes.
Kwa msimu wa 2021/22 mpaka 2023/24 mgao kwa kila timu kwa kila mwezi utakuwa kati ya Shilingi milioni 40 (17248 USD) mpaka milioni 50 (21561 USD) na kiwango hicho kitakuwa kinaongezeka kila baada ya kipindi fulani.
Kiwango hicho kitapanda kila mara mpaka mwisho wa mkataba huu utakapoisha miaka kumi ijayo.
Msimu wa 2028/29 mpaka 2030/31 kila timu itakuwa inapata milioni 82 (35360 USD) mpaka Shilingi milioni 102 (43984 USD).
Fedha hizi zitatolewa kwa mpangilio maalumu ili kuzuia zisitumike nje ya maandalizi ya timu na maendeleo ya soka.
ZAWADI KWA KILA MSIMU KUANZIA MSIMU 2021/22 HADI 2023/24 (ZWADI HII NI KILA MSIMU)
ZAWADI KWA KILA MSIMU KUANZIA MSIMU 2028/29 HADI 2030/31 (ZWADI HII NI KILA MSIMU)
114,272,966.78 USD kwa miaka 10
97,284,020.03 USD baada ya government taxes.
Kwa msimu wa 2021/22 mpaka 2023/24 mgao kwa kila timu kwa kila mwezi utakuwa kati ya Shilingi milioni 40 (17248 USD) mpaka milioni 50 (21561 USD) na kiwango hicho kitakuwa kinaongezeka kila baada ya kipindi fulani.
Kiwango hicho kitapanda kila mara mpaka mwisho wa mkataba huu utakapoisha miaka kumi ijayo.
Msimu wa 2028/29 mpaka 2030/31 kila timu itakuwa inapata milioni 82 (35360 USD) mpaka Shilingi milioni 102 (43984 USD).
Fedha hizi zitatolewa kwa mpangilio maalumu ili kuzuia zisitumike nje ya maandalizi ya timu na maendeleo ya soka.
ZAWADI KWA KILA MSIMU KUANZIA MSIMU 2021/22 HADI 2023/24 (ZWADI HII NI KILA MSIMU)
ZAWADI KWA KILA MSIMU KUANZIA MSIMU 2028/29 HADI 2030/31 (ZWADI HII NI KILA MSIMU)