Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hahahahaha Paskali bhana.Msiziamini sana media, hakuna umwagikaji wowote wa damu, ukweli ni kuwa sisi Watanzania wenyewe, tunaipenda CCM na tunaipatia ushindi wa kishindo kwa kuichagua kwa ridhaa zetu wenyewe katika uchaguzi huru na wa haki, na hili litafanyika milele yote hivyo CCM kutawala milele!.
Wasioukubali ukweli huu, watapata taabu sana.
P.
Umejitoa muhanga kweli! Ila alishasema hajaribiwi. Sugu alisema Bungeni kuwa jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo Wa chupa mpaka anashtuka na kukasirika.Msiziamini sana media, hakuna umwagikaji wowote wa damu, ukweli ni kuwa sisi Watanzania wenyewe, tunaipenda CCM na tunaipatia ushindi wa kishindo kwa kuichagua kwa ridhaa zetu wenyewe katika uchaguzi huru na wa haki, na hili litafanyika milele yote hivyo CCM kutawala milele!.
Wasioukubali ukweli huu, watapata taabu sana.
P.
Watanzania bado waoga sana, hivo ccm itatawala milele , had keagan paul makonda atakuja kuwa rais, maana tumeshindwa kuiondoa ccm kwa sanduku la kura.Msiziamini sana media, hakuna umwagikaji wowote wa damu, ukweli ni kuwa sisi Watanzania wenyewe, tunaipenda CCM na tunaipatia ushindi wa kishindo kwa kuichagua kwa ridhaa zetu wenyewe katika uchaguzi huru na wa haki, na hili litafanyika milele yote hivyo CCM kutawala milele!.
Wasioukubali ukweli huu, watapata taabu sana.
P.
Wewe Pascal wacha undumilakuwili..........Msiziamini sana media, hakuna umwagikaji wowote wa damu, ukweli ni kuwa sisi Watanzania wenyewe, tunaipenda CCM na tunaipatia ushindi wa kishindo kwa kuichagua kwa ridhaa zetu wenyewe katika uchaguzi huru na wa haki, na hili litafanyika milele yote hivyo CCM kutawala milele!.
Wasioukubali ukweli huu, watapata taabu sana.
P.
Yanaepukikaje?,labda watu wajitoe kwenye uchaguziHaya mambo yanaepukanika,
Wewe Pascal wacha undumilakuwili..........
Hivi huoni hizi rafu zinazochezwa waziwazi na CCM wakishirikiana na washirika wake wa karibu NEC+Polisi CCM??
Kwahiyo mkuu na wewe pia unatuambia Tanzania kuna uchaguzi huru na wa haki kweli?Msiziamini sana media, hakuna umwagikaji wowote wa damu, ukweli ni kuwa sisi Watanzania wenyewe, ni watu wapole sana, tuko peace sana, tunaipenda CCM na tunaipatia ushindi wa kishindo kwa kuichagua kwa ridhaa zetu wenyewe katika uchaguzi huru na wa haki, na hili litafanyika milele yote hivyo CCM kutawala milele!.
Wasioukubali ukweli huu, watapata taabu sana.
P.
Huyu ni Pascal au mwingine?Msiziamini sana media, hakuna umwagikaji wowote wa damu, ukweli ni kuwa sisi Watanzania wenyewe, ni watu wapole sana, tuko peace sana, tunaipenda CCM na tunaipatia ushindi wa kishindo kwa kuichagua kwa ridhaa zetu wenyewe katika uchaguzi huru na wa haki, na hili litafanyika milele yote hivyo CCM kutawala milele!.
Wasioukubali ukweli huu, watapata taabu sana.
P.
Jamaa anaelekea kufanana na Deogradius Nalimi KisanduHuyu ni Pascal au mwingine?
Hahahhaha
Hahahha, Mimi naamini kwa weredi alionao Pascal hawezi kufikia hukoJamaa anaelekea kufanana na Deogradius Nalimi Kisandu
Mwandishi wa habari kama Paschal Mayala kusema Tanzania kuna uchaguzi huru na wa haki ni aibu kubwa kabisa.Hahahha, Mimi naamini kwa weredi alionao Pascal hawezi kufikia huko