rbsharia
Member
- Sep 14, 2011
- 41
- 6
Wanajukwaa naomba nisaidieni. Hivi huu utaratibu wa kila kitu unachotaka kununua au kukodisha ni lazima awepo dalali? Imefikia wakati madalali wanapata faida kuliko wenye mali inayouzwa au kukodishwa hatua ambayo inatuumiza sisi wateja!!!!
INANIUMA SANA, mbona kuna nchi ambazo ni masikini kama nchi yetu lakini hazina huu mfumo na biashara zinafanyika bila muuzaji au mnunuaji kulalamika (Products fixed prices system - PFPS)? Au tatizo lipo wapi?
"INANIUMA SANA NA NAIONEA HURUMA NCHI YANGU HUKO INAPOELEKEA"
kAriBunI
INANIUMA SANA, mbona kuna nchi ambazo ni masikini kama nchi yetu lakini hazina huu mfumo na biashara zinafanyika bila muuzaji au mnunuaji kulalamika (Products fixed prices system - PFPS)? Au tatizo lipo wapi?
"INANIUMA SANA NA NAIONEA HURUMA NCHI YANGU HUKO INAPOELEKEA"
kAriBunI