mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
- Thread starter
- #41
Umejibu vyema sana wewe ni mkristo kutokwenda kwako kanisani hakukufanyi ukristo wako uishe lakini pia hakukufanyi kuwa tofauti na maazimio ya walioenda kanisani wakati wewe ukiwa na mambo yako.Maswali ya kipumbavu. Haya mimi ni mkristu, nikikosa kwenda kanisani jumapili ukristu wangu unakwisha??
Position yako na Mbowe katika TCD ni umbali wa dunia na jua. Hiyo hadhara ni kwa ajili yako, yeye kufahamu ajenda kama mmoja wa waanzilishi (wana katiba au taratibu za taasisi hiyo). Taasisi ya kisiasa inamwalika aliyehusika katika uchaguzi unaolalamikiwa kuwa mgeni rasmi ili taasisi imuombe mambo kadha wa kadha??!! Really??
Ni aina yako ya upumbavu ndio mambo yanayolitesa taifa hili. Hapa mbowe anatumia nguvu ya hoja kwa sababu hataki kutumia mabavu! Kukataa ni moja ya njia non-violent. Unashangaa kupingwa kwa mkutano huu lakini ni wewe hukukushangaa kupingwa kwa rasimu ya katiba ya Warioba. Ikatengenezwa nyingine ambayo imetupwa kapuni na mpaka sasa hujawahi kuuliza nini kitaipata!!! Kazi yako ni kulaumu wengine wanaochukua hatua usizoweza hata kuchukua.
Pathetic!!
Hivyo Chadema ni sehemu ya TCD hilo wamekiri uamuzi wa kuingia au kutoingia kwenye Vikao ni wao kwa kuwa ni haki yao.
Lakini uamuzi wa kupinga au kukana kile kilichofikiwa/kubaliwa katika Vikao walivyosusa haki hiyo hawana kwa kuwa wao ni sehemu ya uamuzi huo
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app