Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi ilivyo pale Bungeni inakatisha tamaa kuona hawa wanawake ni tatizo kwa maendeleo yetu.
Hakuna mwanamke toka chama tawala CCM aliyetoa hoja yenye mashiko kuanzia mbunge mpaka waziri,inatia aibu.
Tunacho shuhudia ni mipasho na vijembe na maneno ya kanga zaidi ya yote wamezidisha itikadi za chama kuliko taifa kwanza.
Zaidi ya kukosa hoja pia wamekuwa ni watu wa kutuhumu watu tu hadi inatokea wanapishana kimtazamo na viongozi wa chama chao.
Kwa hali ilivyo sasa tusitaraji kupata ukombozi kupitia mama zetu hawa kwani wamekuwa wanatumiwa na wanaume kupotosha na kuleta vurugu kuliko kuukomboa umma na wapiga kura wao.
naunga mkono hoja yule atakuwa na uhusiano na WassiraWabunge wengi wanawake wanaingia bungeni kwa kupendelewa na mabwana zao ama rushwa ya ng.ono, hawajui kujenga hoja kamwe, ni aibu tupu!
kweli nimemsikiliza Asunta sjui Asumta yani anapigakelele hakuna hoja, majigambo ya kihaya yani kazi kweli, waziri Ghasiani kinyaa yani sjui wanaowachagua na kuwateua sjui wanaangalia chama2. imbomboNgafu
1.MUNGU si mjinga kuanza kumuumba Adamu..
2. Yesu alikuwa ni mwanaume
3. Mtume Mohamad alikuwa mwanaume...
4.Nabii Musa alikuwa ni mwanaume
5.Nabii Eliya alikuwa ni mwanaume
6. Mtume Paulo alikuwa ni mwanaume
Mkuu tafakari na uchukuwe hatua....wanawake wa leo wanapingana na maandiko ya MUNGU ndiyo maana upstairs hakuko vizuri.
Kuna umuhimu wa kufuta viti maalum na 50-50 ifutwe ibaki strugle for existence and survival of the fittest
kweli nimemsikiliza Asunta sjui Asumta yani anapigakelele hakuna hoja, majigambo ya kihaya yani kazi kweli, waziri Ghasiani kinyaa yani sjui wanaowachagua na kuwateua sjui wanaangalia chama2. imbomboNgafu