Kwa hali hii, eeh Mungu ibariki Tanzania na watu wake

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Wakuu nimewaza sana na kitafakari sana juu ya mjadala mmoja ambao uko hot kwelikweli kwenye media nyingi hasa mitandao ya kijamii na kujiuliza haya yafuatayo;

1. Hivi ni kweli Mungu ametunyima uwezo wa kufikiri kabisa kabisa kiasi cha mbunge mtu mzima kusimama na kuwaambia watu kua"Mnataka bunge lioneshwe wazi mnatafuta wachumba? kweli?

2. Kuwaambia watu kua bunge kuoneshwa live ni kuwapotezea muda wa kazi, sasa kama watu wanaacha kazi zao na kukimbilia kuangalia bunge si ndio uthibitisho tosha wa umuhimu wa bunge hili?

3. Hivi mtu anaweza kuacha kazi zake akaenda kukaa kwenye TV kumwangalia Diamondi au Ali Kiba kama hakuna bunge?

4. Miaka yote ya nyuma iliyopita bunge limekua likioneshwa live, naomba mwenye tathmini ya upotevu wa muda na hasara waliyoipata wananchi na kuwafanya kua maskini hadi leo!

5. Nini maana ya neno la kizungu"NATIONAL ASSEMBLY" kwa tafsri yake halisi?

6. Nini tofauti ya bunge kuoneshwa live na kua recorded?

7. Ni nchi ngapi kusini mwa jangwa la Sahara wananchi hawapati matangazo ya live wakati wa vikao vya mabunge yao? Mifano miwili tu!

8. Ni siku gani hasa bunge litoneshwa live? Wakati wa hotuba ya Rais bungeni? Wakati wa kulifunga au kulifungua au hayo nayo hayatakuwepo kabisa? Kwanini?

Mungu ibariki Tanzania na watu wake!
 
Huo ndo uwezo wa akili ulizopewa na Mungu? Ktk mipango ya maendeleo yoyote ktk jamii yoyote, mivutano na malumbano hutokea kuelekea makubaliano yaletayo maendeleo! Kuna watu tunahitaji uongozi wa bunge utupe taarifa wa yaliyofikiwa ktk mijadala yao na si kusikia wanavyolumbana ktk mijadala hiyo! Kuna watu tunataka maendeleo kupitia wawakilishi wetu tuliowatuma kutuwakilisha, iwe live au isiwe live wakishindwa kutuwakilisha na kuibana serikali hatuwezi tena kuwachagua kuwa wawakilishi wetu!

Ujue jambo moja kuwa, wewe kusikia live au kutosikia live mijadala ya bunge hakubadili utekelezaji wa serikali kama ilivyokuwa ktk awamu iliyopita! Tulilazimika kuwakataa CCM si kwa sababu waliruhusu mchakato kuwa live bali kwa sababu walishindwa kutekeleza wajibu wao kama tulivyokuwa tumehitaji! Wamebahatika kurudi kushika utawala kwa maarifa ya ziada, wasipotekeleza tunayohitaji kimaendeleo ktk majimbo yetu, ni lazima maarifa ya kuwarejesha yagonge mwamba! Hata ktk familia, ktk mipango ya maendeleo ya familia, watoto hawahitaji kujua baba na mama wanavyolumbana, ila kulingana na rasilimali zilizopo waishi sawasawa na rasilimali wazionazo! Mnaendelea kupotosha watu mkidhani suala la maendeleo ktk majimbo yenu litaletwa na kutazama bunge live!
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Watanzania bana mdomo mreefu hakuna point hata moja, sasaiv wapumbavu utawasikia tunataka maendeleo sio bunge live sababu tu waume zao wameongea, siku wakigeuka nao wanaanza kutafuta pa kushika. Watu tunalipa kodi, tena tunalipa hela nyingi sana tunataka kujua ni nani mipango na matumizi ya kodi zetu, tunataka kujua ni wawakilishi gani wanasaidia kusimamia vizuri kodi zetu period. CCM hawataki bunge lioneshwe kwa sababu kwa takribani miaka 55 wamekuwa wakiwadanganya wananchi, sasaiv wanaona hakuna uongo tena sasa wanataka kuficha hii aibu, hii haikubaliki. Nchi hazijengwi kwa kikundi cha watu fulan kujifanya wababe, binadamu sio punda, kuwa kazin haimaanish kufanya kazi, kama wananchi hawakubali jambo fulan huwez kulazimisha kwa kisingizio cha kazi, watu watakuhujumu kazi hawafanyi na pesa wanachukua. Ni lazima serikali ijifunze kujua nin watu wanataka.
 
Wakuu nimewaza sana na kitafakari sana juu ya mjadala mmoja ambao uko hot kwelikweli kwenye media nyingi hasa mitandao ya kijamii na kujiuliza haya yafuatayo;

1. Hivi ni kweli Mungu ametunyima uwezo wa kufikiri kabisa kabisa kiasi cha mbunge mtu mzima kusimama na kuwaambia watu kua"Mnataka bunge lioneshwe wazi mnatafuta wachumba? kweli?

2. Kuwaambia watu kua bunge kuoneshwa live ni kuwapotezea muda wa kazi, sasa kama watu wanaacha kazi zao na kukimbilia kuangalia bunge si ndio uthibitisho tosha wa umuhimu wa bunge hili?

3. Hivi mtu anaweza kuacha kazi zake akaenda kukaa kwenye TV kumwangalia Diamondi au Ali Kiba kama hakuna bunge?

4. Miaka yote ya nyuma iliyopita bunge limekua likioneshwa live, naomba mwenye tathmini ya upotevu wa muda na hasara waliyoipata wananchi na kuwafanya kua maskini hadi leo!

5. Nini maana ya neno la kizungu"NATIONAL ASSEMBLY" kwa tafsri yake halisi?

6. Nini tofauti ya bunge kuoneshwa live na kua recorded?

7. Ni nchi ngapi kusini mwa jangwa la Sahara wananchi hawapati matangazo ya live wakati wa vikao vya mabunge yao? Mifano miwili tu!

8. Ni siku gani hasa bunge litoneshwa live? Wakati wa hotuba ya Rais bungeni? Wakati wa kulifunga au kulifungua au hayo nayo hayatakuwepo kabisa? Kwanini?

Mungu ibariki Tanzania na watu wake!
Taja idadi ya nchi ngapi zinazoonyesha bunge live masaa yote! Usiwe mbwiga.
 
Watanzania bana mdomo mreefu hakuna point hata moja, sasaiv wapumbavu utawasikia tunataka maendeleo sio bunge live sababu tu waume zao wameongea, siku wakigeuka nao wanaanza kutafuta pa kushika. Watu tunalipa kodi, tena tunalipa hela nyingi sana tunataka kujua ni nani mipango na matumizi ya kodi zetu, tunataka kujua ni wawakilishi gani wanasaidia kusimamia vizuri kodi zetu period. CCM hawataki bunge lioneshwe kwa sababu kwa takribani miaka 55 wamekuwa wakiwadanganya wananchi, sasaiv wanaona hakuna uongo tena sasa wanataka kuficha hii aibu, hii haikubaliki. Nchi hazijengwi kwa kikundi cha watu fulan kujifanya wababe, binadamu sio punda, kuwa kazin haimaanish kufanya kazi, kama wananchi hawakubali jambo fulan huwez kulazimisha kwa kisingizio cha kazi, watu watakuhujumu kazi hawafanyi na pesa wanachukua. Ni lazima serikali ijifunze kujua nin watu wanataka.
Uhuru wa kuropoka, hata mjinga anaona bora lake lipite hata kama halina maana!
 
Wakuu nimewaza sana na kitafakari sana juu ya mjadala mmoja ambao uko hot kwelikweli kwenye media nyingi hasa mitandao ya kijamii na kujiuliza haya yafuatayo;

1. Hivi ni kweli Mungu ametunyima uwezo wa kufikiri kabisa kabisa kiasi cha mbunge mtu mzima kusimama na kuwaambia watu kua"Mnataka bunge lioneshwe wazi mnatafuta wachumba? kweli?

2. Kuwaambia watu kua bunge kuoneshwa live ni kuwapotezea muda wa kazi, sasa kama watu wanaacha kazi zao na kukimbilia kuangalia bunge si ndio uthibitisho tosha wa umuhimu wa bunge hili?

3. Hivi mtu anaweza kuacha kazi zake akaenda kukaa kwenye TV kumwangalia Diamondi au Ali Kiba kama hakuna bunge?

4. Miaka yote ya nyuma iliyopita bunge limekua likioneshwa live, naomba mwenye tathmini ya upotevu wa muda na hasara waliyoipata wananchi na kuwafanya kua maskini hadi leo!

5. Nini maana ya neno la kizungu"NATIONAL ASSEMBLY" kwa tafsri yake halisi?

6. Nini tofauti ya bunge kuoneshwa live na kua recorded?

7. Ni nchi ngapi kusini mwa jangwa la Sahara wananchi hawapati matangazo ya live wakati wa vikao vya mabunge yao? Mifano miwili tu!

8. Ni siku gani hasa bunge litoneshwa live? Wakati wa hotuba ya Rais bungeni? Wakati wa kulifunga au kulifungua au hayo nayo hayatakuwepo kabisa? Kwanini?

Mungu ibariki Tanzania na watu wake!


Hata wewe hauna akili kwa maana umeandika namba 1-8 lkn unaongelea kitu hicho hicho kimoja cha Bunge kuonyeshwa live, sasa ni kwa nini usingeandika tu aya? Hivi unajua maana ya kuanisha mstari kwa mstari kwenye uandishi??
Halafu tangu lini Bunge kuonyeshwa live kukawa ndiyo tatizo kubwa TZ??
 
Hata wewe hauna akili kwa maana umeandika namba 1-8 lkn unaongelea kitu hicho hicho kimoja cha Bunge kuonyeshwa live, sasa ni kwa nini usingeandika tu aya? Hivi unajua maana ya kuanisha mstari kwa mstari kwenye uandishi??
Halafu tangu lini Bunge kuonyeshwa live kukawa ndiyo tatizo kubwa TZ??
Asiye na akili ni wewe mjinga! Ungekua na akili ingejibi hoja na sio ushabiki wa kipuuzi. Haya maswali ulikua wapi siku zote hukuyailiza mpaka Leo ujifanye unakosoa?
 
Huo ndo uwezo wa akili ulizopewa na Mungu? Ktk mipango ya maendeleo yoyote ktk jamii yoyote, mivutano na malumbano hutokea kuelekea makubaliano yaletayo maendeleo! Kuna watu tunahitaji uongozi wa bunge utupe taarifa wa yaliyofikiwa ktk mijadala yao na si kusikia wanavyolumbana ktk mijadala hiyo! Kuna watu tunataka maendeleo kupitia wawakilishi wetu tuliowatuma kutuwakilisha, iwe live au isiwe live wakishindwa kutuwakilisha na kuibana serikali hatuwezi tena kuwachagua kuwa wawakilishi wetu! Ujue jambo moja kuwa, wewe kusikia live au kutosikia live mijadala ya bunge hakubadili utekelezaji wa serikali kama ilivyokuwa ktk awamu iliyopita! Tulilazimika kuwakataa ccm si kwa sababu waliruhusu mchakato kuwa live bali kwa sababu walishindwa kutekeleza wajibu wao kama tulivyokuwa tumehitaji! Wamebahatika kurudi kushika utawala kwa maarifa ya ziada, wasipotekeleza tunayohitaji kimaendeleo ktk majimbo yetu, ni lazima maarifa ya kuwarejesha yagonge mwamba! Hata ktk familia, ktk mipango ya maendeleo ya familia, watoto hawahitaji kujua baba na mama wanavyolumbana, ila kulingana na rasirimali zilizopo waishi sawasawa na rasilimali wazionazo! Mnaendelea kupotosha watu mkidhani suala la maendeleo ktk majimbo yenu litaletwa na kutazama bunge live!
Unatokwa povu jingi kulelzea usichokielewa! Mbona hamkulalamika wakati bunge lilippkua live wakati wa Kikwete? Hivi watu mnaenda shule kujifunza ujinga? Hivi kweli huoni kasoro zozote zinazotokana na kukosekana kwa bunge live? Mehemko ya kisiasa ni mibaya sana.
 
Hata wewe hauna akili kwa maana umeandika namba 1-8 lkn unaongelea kitu hicho hicho kimoja cha Bunge kuonyeshwa live, sasa ni kwa nini usingeandika tu aya? Hivi unajua maana ya kuanisha mstari kwa mstari kwenye uandishi??
Halafu tangu lini Bunge kuonyeshwa live kukawa ndiyo tatizo kubwa TZ??
Wewe shule shule umeenda lakini haki ya nani hujaelimika. Au unakubali kutumika kwa sababu zilezile wanazokubali kutumika makahaba ambao wanajua fika risk ya magonjwa na heshima kupotea kwa kufanya biashara hiyo lakini wafanyeje wakati ndio inawapa mlo?
 
Unatokwa povu jingi kulelzea usichokielewa! Mbona hamkulalamika wakati bunge lilippkua live wakati wa Kikwete? Hivi watu mnaenda shule kujifunza ujinga? Hivi kweli huoni kasoro zozote zinazotokana na kukosekana kwa bunge live? Mehemko ya kisiasa ni mibaya sana.


Hauwezi kufanya outline namba 1-8 halafu unaongelea kitu hicho hicho tu, huwo ni ukilaza!
 
Huo ndo uwezo wa akili ulizopewa na Mungu? Ktk mipango ya maendeleo yoyote ktk jamii yoyote, mivutano na malumbano hutokea kuelekea makubaliano yaletayo maendeleo! Kuna watu tunahitaji uongozi wa bunge utupe taarifa wa yaliyofikiwa ktk mijadala yao na si kusikia wanavyolumbana ktk mijadala hiyo! Kuna watu tunataka maendeleo kupitia wawakilishi wetu tuliowatuma kutuwakilisha, iwe live au isiwe live wakishindwa kutuwakilisha na kuibana serikali hatuwezi tena kuwachagua kuwa wawakilishi wetu! Ujue jambo moja kuwa, wewe kusikia live au kutosikia live mijadala ya bunge hakubadili utekelezaji wa serikali kama ilivyokuwa ktk awamu iliyopita! Tulilazimika kuwakataa ccm si kwa sababu waliruhusu mchakato kuwa live bali kwa sababu walishindwa kutekeleza wajibu wao kama tulivyokuwa tumehitaji! Wamebahatika kurudi kushika utawala kwa maarifa ya ziada, wasipotekeleza tunayohitaji kimaendeleo ktk majimbo yetu, ni lazima maarifa ya kuwarejesha yagonge mwamba! Hata ktk familia, ktk mipango ya maendeleo ya familia, watoto hawahitaji kujua baba na mama wanavyolumbana, ila kulingana na rasirimali zilizopo waishi sawasawa na rasilimali wazionazo! Mnaendelea kupotosha watu mkidhani suala la maendeleo ktk majimbo yenu litaletwa na kutazama bunge live!

Si rahisi watu wote kutaka kitu kimoja kwa wakati mmoja. Asiyetaka kuangalia Bunge live hazuiwi kutokuaangalia. Hakuna hasara atakayoipata. Ana uhuru wa kuangalia au kutokuangalia. Lakini ukizuia urushaji wa live, yule ambaye anataka live coverage utakuwa umemnyima uhuru wake kwa kile akitakacho. Bunge na Rais, tuliwachagua kuwa viongozi na wawakilishi lakini hatukuwapa na akili zetu ili watazame na kuchambua badala yetu, tulichowapa ni uwakilishi tu, tena nao ni wa kiwango fulani tu. Huku nje ya ukumbe wa Bunge kuna watu wengi wenye akili, upeo na utambuzi kuliko hata wao, walijue hivyo. Hao hawahitaji kupangiwa cha kuangalia eti kuna watu fulani wameona kuwa hiki ni muhimu na hiki siyo cha muhimu.

Watu wengine wanataka kuangalia kila kitu live. Na kuna tofauti ya kuangalia kitu live na kilichokuwa recorded. Fikiria hata match za mpira, wapo wanaoangalia live match kwa kupitia luninga zao wakiwa nyumbani, wapo ambao hata kuangalia live kupitia luninga wanaona haitoshi, wao wanakwenda uwanjani kushuhudia kila kitu kwa macho yao. Lakini wapo pia wale ambao kutazama tu vipande vya match, jinsi magoli yalivyofungwa kwao inatosha.

Viongozi wa Bunge waache uongozi wa kijinga uliokuwepo enzi zisizokuwa na tekinolojia, leo tekinolojia imekuwa wao wanataka kuendelea kutumikia ujinga wa kale. Ni muhimu twende mbele siyo kurudi nyuma. Kuna watu ni wajinga lakini wanadhani ni werevu kuliko wote. Ni ujinga wa hali ya juu na ukosefu wa uongozi wenye tija kumpangia mtu kitu cha kuangalia na kusikia. Huko ni kukosa uongozi wenye maono.
 
Taja idadi ya nchi ngapi zinazoonyesha bunge live masaa yote! Usiwe mbwiga.
Mara nyingi mjinga huuliza
Hauwezi kufanya outline namba 1-8 halafu unaongelea kitu hicho hicho tu, huwo ni ukilaza!
Ngoja nikueleweshe wewe mbulula! Unaweza kuuliza maswali hata mia tofauti yakalenga kitu kimoja,Huwezi kugenralize maswali yote huku kwa kuzingalia ukubwa wa mada husika! Ndio maana hata mwalimu wa darasa la saba(Kiwango chako cha elimu) alipokuuliza maswali mengi ndani ya sura moja alimaanisha kua yana utafauti wake.
 
Si rahisi watu wote kutaka kitu kimoja kwa wakati mmoja. Asiyetaka kuangalia Bunge live hazuiwi kutokuaangalia. Hakuna hasara atakayoipata. Ana uhuru wa kuangalia au kutokuangalia. Lakini ukizuia urushaji wa live, yule ambaye anataka live coverage utakuwa umemnyima uhuru wake kwa kile akitakacho. Bunge na Rais, tuliwachagua kuwa viongozi na wawakilishi lakini hatukuwapa na akili zetu ili watazame na kuchambua badala yetu, tulichowapa ni uwakilishi tu, tena nao ni wa kiwango fulani tu. Huku nje ya ukumbe wa Bunge kuna watu wengi wenye akili, upeo na utambuzi kuliko hata wao, walijue hivyo. Hao hawahitaji kupangiwa cha kuangalia eti kuna watu fulani wameona kuwa hiki ni muhimu na hiki siyo cha muhimu.

Watu wengine wanataka kuangalia kila kitu live. Na kuna tofauti ya kuangalia kitu live na kilichokuwa recorded. Fikiria hata match za mpira, wapo wanaoangalia live match kwa kupitia luninga zao wakiwa nyumbani, wapo ambao hata kuangalia live kupitia luninga wanaona haitoshi, wao wanakwenda uwanjani kushuhudia kila kitu kwa macho yao. Lakini wapo pia wale ambao kutazama tu vipande vya match, jinsi magoli yalivyofungwa kwao inatosha.

Viongozi wa Bunge waache uongozi wa kijinga uliokuwepo enzi zisizokuwa na tekinolojia, leo tekinolojia imekuwa wao wanataka kuendelea kutumikia ujinga wa kale. Ni muhimu twende mbele siyo kurudi nyuma. Kuna watu ni wajinga lakini wanadhani ni werevu kuliko wote. Ni ujinga wa hali ya juu na ukosefu wa uongozi wenye tija kumpangia mtu kitu cha kuangalia na kusikia. Huko ni kukosa uongozi wenye maono.
Hawa watu uwezo wa kufikiri hawana mkuu ni bora kuwapuuza! Utapoteza muda wake kijibishana nao.
 
Wewe shule shule umeenda lakini haki ya nani hujaelimika. Au unakubali kutumika kwa sababu zilezile wanazokubali kutumika makahaba ambao wanajua fika risk ya magonjwa na heshima kupotea kwa kufanya biashara hiyo lakini wafanyeje wakati ndio inawapa mlo?


Hauwezi kufanya outline namba 1-8 halafu unaongelea kitu hicho hicho tu, huwo ni ukilaza!
Mara nyingi mjinga huuliza

Ngoja nikueleweshe wewe mbulula! Unaweza kuuliza maswali hata mia tofauti yakalenga kitu kimoja,Huwezi kugenralize maswali yote huku kwa kuzingalia ukubwa wa mada husika! Ndio maana hata mwalimu wa darasa la saba(Kiwango chako cha elimu) alipokuuliza maswali mengi ndani ya sura moja alimaanisha kua yana utafauti wake.

Hauwezi kufanya outline namba 1-8 halafu unaongelea kitu hicho hicho tu, huwo ni ukilaza!
 
Wakuu nimewaza sana na kitafakari sana juu ya mjadala mmoja ambao uko hot kwelikweli kwenye media nyingi hasa mitandao ya kijamii na kujiuliza haya yafuatayo;

1. Hivi ni kweli Mungu ametunyima uwezo wa kufikiri kabisa kabisa kiasi cha mbunge mtu mzima kusimama na kuwaambia watu kua"Mnataka bunge lioneshwe wazi mnatafuta wachumba? kweli?

2. Kuwaambia watu kua bunge kuoneshwa live ni kuwapotezea muda wa kazi, sasa kama watu wanaacha kazi zao na kukimbilia kuangalia bunge si ndio uthibitisho tosha wa umuhimu wa bunge hili?

3. Hivi mtu anaweza kuacha kazi zake akaenda kukaa kwenye TV kumwangalia Diamondi au Ali Kiba kama hakuna bunge?

4. Miaka yote ya nyuma iliyopita bunge limekua likioneshwa live, naomba mwenye tathmini ya upotevu wa muda na hasara waliyoipata wananchi na kuwafanya kua maskini hadi leo!

5. Nini maana ya neno la kizungu"NATIONAL ASSEMBLY" kwa tafsri yake halisi?

6. Nini tofauti ya bunge kuoneshwa live na kua recorded?

7. Ni nchi ngapi kusini mwa jangwa la Sahara wananchi hawapati matangazo ya live wakati wa vikao vya mabunge yao? Mifano miwili tu!

8. Ni siku gani hasa bunge litoneshwa live? Wakati wa hotuba ya Rais bungeni? Wakati wa kulifunga au kulifungua au hayo nayo hayatakuwepo kabisa? Kwanini?

Mungu ibariki Tanzania na watu wake!
12642710_785205048252878_8676523272191672910_n.jpg
 
Mungu katupa kila aina ya utajiri lakini alitunyima viongozi.. Nadhani nchi hii tuna laana .. Tunahitaji maombi kama Taifa.. Wabunge wanaangalia vyama vyao .. Rais anaangalia chama chake.. Kwa hili namkumbuka Deo Filikunjombe RIP taifa kwanza vyama baadae.. Ole wao nchi ikimbizao moto.. Tafakari kwa makini
 
kimbizane kwenye mambo yenu ya ...machama... halafu mkishamaliza mtuambie ripoti ya CAG inasomwa saa ngapi ili tujue wangapi wanatumbuliwa
 
Wewe shule shule umeenda lakini haki ya nani hujaelimika. Au unakubali kutumika kwa sababu zilezile wanazokubali kutumika makahaba ambao wanajua fika risk ya magonjwa na heshima kupotea kwa kufanya biashara hiyo lakini wafanyeje wakati ndio inawapa mlo?
Mpuuze tu mkuu!huo ndio mwisho wake wa kufikiri, ameshindwa kabisa kutotautisha swali moja na liingine. Tulipoambiwa Elimu Elimu Elimu
 
Back
Top Bottom