Kamarada
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 253
- 161
Slaam kwenu Waungwana..
Kama picha inavyojieleza, kwa hakika personally imenitia simanzi na kunitafakarisha sana. Lakini kwa upande mwingine imenihamasisha kulipia king'amuzi changu in full kwa mwezi wote huu wa April ili siku za weekend na sikukuu nipumzike nyumbani na family tukiangalia TV.
@Picha hiyo ni kwa hisani ya Mdau Ally Kanah (Comment No.14) ktk uzi wa Kamanda Chakaza (Ushahidi; RC DSM ni Mkubwa Kuliko Waziri). Asanteni wadau kwa somo hilo.