Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Well, sio mbaya nikiwashirikisha wenzangu ktk fikra zangu za sauti kubwa.Nadhani tutakuwa tumejiongeza kifikra na kujenga mazingiza ya kujiandaa kwa situations mbalimbali. Well, Ingawa kwa sasa bombadier yoyote itakayoingia nchi kupitia mmiliki mwingine asiye serikali lazima habari zijae mijadala.Interest yangu ipo hapa kujua public and Regime reactions.Najua mtu akimtonya Uhuru hii issue nae anaweza on sio bad idea ila tungalie hizi situations na dynamics zitakavyochange ktk nchi yetu km kubadili gear angani vile :
1.Akinunua Gwajima?
2. Wakinunua wamiliki wa makampuni ya ndege ila sio ATC?
Precisonair?Reginal? Fastjet,Air Excel? Kuna matokeo tofauti hapa.
3. Akinunua Bakhresa?
4. Akinunua Manji?
5.Akinunua MO.
6.Akinunua Azam?
7.Akinunua Mengi?
8.Akinunua Lowasa?
9.Akinunua Sumaye?
10. Akinunua Mbowe?
11.Akinunua Tundu Lissu na marafiki zake?
12.Wakinunua Familia ya Ndesa ili Kumuenzi mzee wao?
13.Akinunua Sabodo?
14. Akinunua Mramba?
15.Anunue KIMEI?
* Au ze bad boy ME nikashinda Grand betting(SportPesa+nikashinda kamari zote za makasino nchini na vibanda vya ,slots)+Nikawauzia watu chai wakaniamini kuwa niwemsimamizi + nikauza mbuzi zote za ukoo kisha nikatokeea from nowhere na kubdi chap chap km Jim ktk the MASK ?
Jamani sioni km ni impossible kwa hiyo naomba tujielekeze kwenye details za reactions kwa itakayomkuta mtu maalumu ktk hawa hapo juu.Mzigo very soon utakuwa sokoni.Na kuna watz kwa sasa wengi tuu wanaweza pull mzigo huo wenyewe au hata kupiga donation wa 2 ,wa 3 hivi.NOTE: hiyo ndege ikuzwa ktk mnada inaweza uzwa bei ndogo kwa mdau mwingine asiye hii serikali kupitia mnada.Inaweza uzwa kwa bei hata kurudisha hela zao bila riba km ila bei yaokm ilikuwa overpriced bado hela yao itakuwa na faida.Halafu hiyo riba ibaki waendelee dai hii serikali km akiba ya kuja wa embarass in the future
1.Akinunua Gwajima?
2. Wakinunua wamiliki wa makampuni ya ndege ila sio ATC?
Precisonair?Reginal? Fastjet,Air Excel? Kuna matokeo tofauti hapa.
3. Akinunua Bakhresa?
4. Akinunua Manji?
5.Akinunua MO.
6.Akinunua Azam?
7.Akinunua Mengi?
8.Akinunua Lowasa?
9.Akinunua Sumaye?
10. Akinunua Mbowe?
11.Akinunua Tundu Lissu na marafiki zake?
12.Wakinunua Familia ya Ndesa ili Kumuenzi mzee wao?
13.Akinunua Sabodo?
14. Akinunua Mramba?
15.Anunue KIMEI?
* Au ze bad boy ME nikashinda Grand betting(SportPesa+nikashinda kamari zote za makasino nchini na vibanda vya ,slots)+Nikawauzia watu chai wakaniamini kuwa niwemsimamizi + nikauza mbuzi zote za ukoo kisha nikatokeea from nowhere na kubdi chap chap km Jim ktk the MASK ?
Jamani sioni km ni impossible kwa hiyo naomba tujielekeze kwenye details za reactions kwa itakayomkuta mtu maalumu ktk hawa hapo juu.Mzigo very soon utakuwa sokoni.Na kuna watz kwa sasa wengi tuu wanaweza pull mzigo huo wenyewe au hata kupiga donation wa 2 ,wa 3 hivi.NOTE: hiyo ndege ikuzwa ktk mnada inaweza uzwa bei ndogo kwa mdau mwingine asiye hii serikali kupitia mnada.Inaweza uzwa kwa bei hata kurudisha hela zao bila riba km ila bei yaokm ilikuwa overpriced bado hela yao itakuwa na faida.Halafu hiyo riba ibaki waendelee dai hii serikali km akiba ya kuja wa embarass in the future