mind bringer
Senior Member
- Oct 19, 2017
- 170
- 51
Wajumbee wa UDSM toeni ushaurii hapa!
Kuna dogo amepata GPA ya 3.4 anawish ku-apply UDSM, vp anaweza kupata au utapoteza 10000 yake amemaliza chuo cha Ualim, anataka akachukue kozi ya Mathematics and Statistics.
Kuna dogo amepata GPA ya 3.4 anawish ku-apply UDSM, vp anaweza kupata au utapoteza 10000 yake amemaliza chuo cha Ualim, anataka akachukue kozi ya Mathematics and Statistics.