Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 968
- 2,230
Mimi ni mhandisi kada ya ujenzi nimekuwa natafuta kazi sehemu mbalimbali kwenye makampuni ya ujenzi na taasisi tofautitofauti.
Wadau wanashauri nikajichanganye Dodoma kuna fursa nyingi, wenyeji wa Dodoma hebu nipeni michongo nikifika Dodoma nijichanganye sehemu zipi ili niweze fanikisha kupata kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau wanashauri nikajichanganye Dodoma kuna fursa nyingi, wenyeji wa Dodoma hebu nipeni michongo nikifika Dodoma nijichanganye sehemu zipi ili niweze fanikisha kupata kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app