HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
PAC na BIGGIE SMALLS kila mmoja alikuwa na uwezo wake kipekee.
Kwahiyo huwezi kuwaweka wawili hawa pamoja, na kuwashindanisha nani zaidi?
Utapotea.
Kila mmoja alijaaliwa kitu adimu ambacho mwenzake amekikosa.
Ukiniuliza nani zaidi kati ya PAC na BIGGIE SMALLS, jibu la haraka nitakupa PAC.
Ila nikimsikiliza BIGGIE SMALLS jinsi anavyoondoka mistari yake kiufundi na kwa namna yake, hapa inabidi niwe Matawi ya chini, BIGGIE SMALLS anatisha.
Ukisikiliza ALBUM yake ya kuitwa READY TO DIE, vibao vilivyomo ndani ya ALBUM hiyo kwa kweli Michano yake ni hatari.
Hebu niambie VIBAO kama Everyday struggle, One more chance, Big poppa, Gimme the loot.
Hivi VIBAO ni vikali mno.
Hebu sikiliza kibao chake cha kuitwa JUICY ndio utajua BIGGIE SMALLS ni moto wa kuotea mbali:-
Kwahiyo huwezi kuwaweka wawili hawa pamoja, na kuwashindanisha nani zaidi?
Utapotea.
Kila mmoja alijaaliwa kitu adimu ambacho mwenzake amekikosa.
Ukiniuliza nani zaidi kati ya PAC na BIGGIE SMALLS, jibu la haraka nitakupa PAC.
Ila nikimsikiliza BIGGIE SMALLS jinsi anavyoondoka mistari yake kiufundi na kwa namna yake, hapa inabidi niwe Matawi ya chini, BIGGIE SMALLS anatisha.
Ukisikiliza ALBUM yake ya kuitwa READY TO DIE, vibao vilivyomo ndani ya ALBUM hiyo kwa kweli Michano yake ni hatari.
Hebu niambie VIBAO kama Everyday struggle, One more chance, Big poppa, Gimme the loot.
Hivi VIBAO ni vikali mno.
Hebu sikiliza kibao chake cha kuitwa JUICY ndio utajua BIGGIE SMALLS ni moto wa kuotea mbali:-