Kwamex
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 378
- 96
Tukiachilia mbali suala la ujumbe waliokuwa wanautoa na tutege sikio kusikiliza muziki wao na hasa flow, naona BIG alikuwa mkali zaid ya PAC....Kiukweli wangekuwepo had kizazi hiki cha rap, kwa 'swagger' za kuflow BIG angestahili heshima ya nyota 5 na PAC * 4, Heshima kwao...R.I.P to all the great hip hop legends!