Kwa faida ya afya na usalama wa kila mwanamke

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
15,271
29,879
Kwa faida ya afya na usalama wa kila mwanamke.

Wasichana 56 wanafariki dunia kila siku kwa ajili ya matumizi ya kipande ki1 cha pedi ya kuwa inasababsha kansa katika kibofu na kizazi.

Jaribu kutmia vitambaa na iwapo unatumia pedi basi badili kila baada ya masaa5.

Kwasababu kadiri muda unavozdi damu hubadilika na kuwa ya kijani ambayo hugeuka fangasi na kuingia katika kizazi.

Share ujumbe huu kwa wanawake wote unaowapenda.

Dr. Ambiele.......
 
Mmh kitambaa jaman si salama. Kama mtu kashindwa badilisha ped ndan ya masaa matano hicho kitambaa si atashinda nacho kutwa nzima.
 
Inabidi tuongee na wizara ya afya ili tupunguziwe bei ya pedi atleast wafanye kuuza elfu moja ili kila mtu awe na uwezo wa kununua hasa Human Cherish ndio zipunguzwe bei wote tuweze kuzivaa......
 
Back
Top Bottom