Hapo inabidi uangalie na vipato vya wengine kama wanawake! Mungu awasaidiekutumia pedi kwa masaa matano ni sawa kabisa tusiwe wabahili, kutumia vitambaa mkuu hapana hadi nimesisimka ila asante kwa ushauri
kweli kabisa mkuu wengine waendelee tu na Mungu awasaidieHapo inabidi uangalie na vipato vya wengine kama wanawake! Mungu awasaidie
Tafadhali mama...too much informationVitambaa siwezi kufua aisee bora kubadili pedi kila saa ike damu hunuka vibaya mnoo
Mdau wa chumvin ni niniTafadhali mama...too much information
SanaMdau wa chumvin ni nini
Mengine yabaki kuwa siri yetu.Vitambaa siwezi kufua aisee bora kubadili pedi kila saa ike damu hunuka vibaya mnoo
VitambaaUnanichekesha
Lakini vitambaa n safe zaidi
Kulaleki Uchafu Wako UnaugopaVitambaa siwezi kufua aisee bora kubadili pedi kila saa ike damu hunuka vibaya mnoo
Biashara za watu izo JamanInabidi tuongee na wizara ya afya ili tupunguziwe bei ya pedi atleast wafanye kuuza elfu moja ili kila mtu awe na uwezo wa kununua hasa Human Cherish ndio zipunguzwe bei wote tuweze kuzivaa......
Nimetoa ktk Libichwa LanguNa huu utafiti wako ulifanyia wapi ?
Je kuna Medical Journal yeyote uliyosoma kuhusiana na hili ?
Kama ndio naomba hiyo link .
ngoja nikabadilishe nimevaa saatanokutumia pedi kwa masaa matano ni sawa kabisa tusiwe wabahili, kutumia vitambaa mkuu hapana hadi nimesisimka ila asante kwa ushauri
Ila bibi zetu walitumia sana hivyo vitambaa na ndio mana walieupukana na maradhi au matatizo mengi ya uzazi, Na pia kwa wao ilikuwa Rahisi sabab wengi walikuwa ni wamama wa nyumbani kwahiyo kikichafuka anaenda kufua na kuanika na kubadilisha sasa hivi ni tofauti.kutumia pedi kwa masaa matano ni sawa kabisa tusiwe wabahili, kutumia vitambaa mkuu hapana hadi nimesisimka ila asante kwa ushauri
nimekuelewaIla bibi zetu walitumia sana hivyo vitambaa na ndio mana walieupukana na maradhi au matatizo mengi ya uzazi, Na pia kwa wao ilikuwa Rahisi sabab wengi walikuwa ni wamama wa nyumbani kwahiyo kikichafuka anaenda kufua na kuanika na kubadilisha sasa hivi ni tofauti.
Wamama/wadada wengi wako makazini itawawia vigumu, ila hayo hayo matumizi ya pedi masaa ni mengi mno inategemea na utokwaji wa damu yenyewe, kwa ile siku ya kwanza kama haitoki nyingi basi masaa 4 ni bora na ikiwa inatoka nyingi masaa 3 ni bora Zaidi. masaa 5 ni kwa ile siku ya mwisho ambayo haitoki nyingi. ILA SI MBAYA SIKU ZA WEEKEND UKIWA HOME KUTUMIA VITAMBAA Ha ha ha ha ha vile vinafuliwa na kurowekwa na maji ya uvuguvugu au moto na vinapigwa na jua yani usafi wake wa hali ya juu kama mvivu mvivu ni bora kuendelea na pedi...MANA WADADA WA SASA CHUPI TU, HAZIPIGWI NA JUA SIKWAMBII VITAMBAA VIKOSE JUA KWENYE DALADALA na mitaani HAKUTAKALIKA KWA HARUFU.
kabadili harakangoja nikabadilishe nimevaa saatano
kitambaa ? bora tu nilowane nikae uchiIla bibi zetu walitumia sana hivyo vitambaa na ndio mana walieupukana na maradhi au matatizo mengi ya uzazi, Na pia kwa wao ilikuwa Rahisi sabab wengi walikuwa ni wamama wa nyumbani kwahiyo kikichafuka anaenda kufua na kuanika na kubadilisha sasa hivi ni tofauti.
Wamama/wadada wengi wako makazini itawawia vigumu, ila hayo hayo matumizi ya pedi masaa ni mengi mno inategemea na utokwaji wa damu yenyewe, kwa ile siku ya kwanza kama haitoki nyingi basi masaa 4 ni bora na ikiwa inatoka nyingi masaa 3 ni bora Zaidi. masaa 5 ni kwa ile siku ya mwisho ambayo haitoki nyingi. ILA SI MBAYA SIKU ZA WEEKEND UKIWA HOME KUTUMIA VITAMBAA Ha ha ha ha ha vile vinafuliwa na kurowekwa na maji ya uvuguvugu au moto na vinapigwa na jua yani usafi wake wa hali ya juu kama mvivu mvivu ni bora kuendelea na pedi...MANA WADADA WA SASA CHUPI TU, HAZIPIGWI NA JUA SIKWAMBII VITAMBAA VIKOSE JUA KWENYE DALADALA na mitaani HAKUTAKALIKA KWA HARUFU.
HahahahahaKuna watu humu ukisoma comment zao unachoka.