Kwa dunia ya sasa, Gari ni moja ya hitaji muhimu sana kwa binadamu

Mkuu ni kwelu, lkn hiyo 280,000 kipindi hicho sio ela ndogo, inaweza kuwa ina thaman na 13M ya sasa.

Hata fixed acc bank mpaka sasa pengine ingekuwa zaidi ya 20M sasa.

Nilichikuwa nachomaanisha, gari inaweza kukupa ela zaidi kuliko nyumba.

Kuna jamaa angu kanunua IST, kampa dogo afanye uber kwa siku hesabu ni 30k. Ile gari imezaa ist nyingine na bado iko vzr.

Just imagine gari ya 10M inakuletea around 700k kwa mwezi, wkt nyumba itakayokuletea 700k kwa mwezi thaman yake si chini ya 70M

Sent using Jamii Forums mobile app
hoja zako zinamashiko sana " ila kuna watu watakupinga "...
 
Wewe usiejionesha ni tajiri kuliko Floyd Maywether anajionesha na kujitapa kila siku mitandaoni.!!??



Nijibu Basi tajiri wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa tajiri na ukawa na tabia za kimaskini, angalia trend ya watu walioukwaa ukwasi ghafula na wakaporomoka mpaka kuwa maskini.

Fananisha na trend ya matajiri ambao hawashuki thamani yaani kila mwaka wanashindana kuongeza mabilion ya dollars watu kama Buffet, Gates au huyu dogo anayemiliki fb Mark. Utakuja gundua wanaishi maisha ya kawaida kabisa hawanaga "show off" za akina Myweather na hapo ndipo ilipo tofauti ya tajiri na maskini.
 
Kua uyaone!
Kwa mtazamo wako uko sahihi kabisa. Anayejenga nyumba yuko sahihi na anayenunua nyumba yuko sahihi pia. Ila neno la kwamba kununua ardhi ni kuweka hela sehemu isiyozaa - hapo ndo nimedharau uwezo wako wa kufikiri.
Natoa mfano;
Mwaka 1998, nilinunua plot ndogo kwa Tshs. 280,000/= na nikajenga kibanda kidogo humo ... hadi sasa ipo lakini ilishapanda bei na kuna mtu aliniletea milioni 13,500,000/= mwaka 2010 nikaikataa.
Usijidanganye hata siku moja ... ardhi ni zaidi ya kitu chochote. Haya magari ni makaratasi tu ... after 5 years gari ni takataka ila ardhi ndo inakuwa inaendelea kuwa na dhamani.
MANENO kuntu!
Mwenye masikio na asikie walahi!
That’s all
 
kama unaishi mjini gari naona ni vizuri kuanza nayo
Huku ukiipaki CCM Na kuilipia elfu tano Kila siku wakati nauli ya daladala kwenda ba kurudi kazini au biashara yako ni shilingi elfu Mbili.Una save elfu tatu Na hela ya mafuta ya gari elfu kumi.Kwa mwezi unakuwa shilingi milioni nne laki sita Na themanini elfu miaka miwili unakuwa umeshakuwa Na milioni kumi Kibindoni ukijumlisha Na hela ulizosave kwenye service ya gari!!!! Ukikuta Na mwenzio mwenye hizo milioni kumi unaanza kumshangaa kwzipataje wakati wewe Na yeye mnafanya kazi moja na mnalipwa mshahara sawa.Mwenzio unaona anasomesha English medium kwa cash wewe anasomesha kwa kukopa ada ikikaribia unajisikia kuchanganyikiwa Na kurukwa Na akili ukiwa ndani ya gari ya mkopo yenye kiyoyozi.Hadi watu wanakushangaa huyu vipi yuko gari lenye full kiyoyozi halafu anatoka mijasho vipi huyu?
 
Nchi za mbele gari ni kitu kidogo sana, na utakiwa mtu anamiliki magari hata 3 lakini hana kiwanja, gati ni kitu kidogo ila ni muhimu kma simu ya mkononi tu
 
Unaweza ukawa tajiri na ukawa na tabia za kimaskini, angalia trend ya watu walioukwaa ukwasi ghafula na wakaporomoka mpaka kuwa maskini.

Fananisha na trend ya matajiri ambao hawashuki thamani yaani kila mwaka wanashindana kuongeza mabilion ya dollars watu kama Buffet, Gates au huyu dogo anayemiliki fb Mark. Utakuja gundua wanaishi maisha ya kawaida kabisa hawanaga "show off" za akina Myweather na hapo ndipo ilipo tofauti ya tajiri na maskini.


Huu uzi umenifundisha kitu kimoja. Kila mtu anaongea kulingana na uwezo wake. Mfano, nikikuuliza hapa, show off maana yake ni nini? Mimi nikiendesha BMW or VW or L/Crusier..wewe ni rahisi kuona kwamba ni show off. Lakini kwangu mimi ni kwa sababu I can afford it. By the way na wewe ungekuwa na hiyo gari usingeniona na-show off! Never. Personally, kwangu usafiri ni muhimu kuliko chochote. Huwezi niambia nikimbilie kujenga nyumba wakati naishi maisha magumu. Mkuu, hela inabidi ikutunze..siyo wewe kuitunza. Whatever I do, lazima nihakikishe kwamba nalala pazuri. Nakula vuzuri. Naendesha usafiri safi. Hayo ya ujenzi yatafuata tuu. Tena I can tell you kuna wapangaji wanaishi maisha mazuri kuliko hata wanaowapangisha nyumba. Pesa ni ya nini kama haikufanyi uishi maisha bora???

Na ukiangalia kwa waTanzania wengi, tunajenga kwa kasumba. tuna ule msemo wetu maarufu "kesho na kesho kutwa........"..."huwezi jua kesho....." Ukweli ni kwamba sehemu unayoishi, watu unao interact nao, in general, neighborhood unayokaa ina-determine quality ya maisha yako na watoto/familia yako.

By the way siyo kila mtu anajenga nyumba IMUINGIZIE pesa. Big no! Mimi hata ningekuwa na uwezo wa kujenga mansion nafanya hivyo kwa sababu nataka kuishi pazuri. Quality life. Siwezi kujenga nyumba nzuri ya mpangaji wakati mimi naishi sivyo.

Ushauri kwa vijana mnaomaliza Vyuo mnaingia mjini kuanza maisha.....live quality life kwanza. Maisha hayana rehearsal. Hata kama ni kupanga chumba..kipange sehemu nzuri (I hope mnanielewa). Huu ujinga unatafuta room moja halafu unakwenda kupanga Kongowe...Thanks no thanks! Nenda huko kama una nyumba yako.

Mwisho wa siku waswahili wanasema: Umaridadi huficha umasikini.
 
Huu uzi umenifundisha kitu kimoja. Kila mtu anaongea kulingana na uwezo wake. Mfano, nikikuuliza hapa, show off maana yake ni nini? Mimi nikiendesha BMW or VW or L/Crusier..wewe ni rahisi kuona kwamba ni show off. Lakini kwangu mimi ni kwa sababu I can afford it. By the way na wewe ungekuwa na hiyo gari usingeniona na-show off! Never. Personally, kwangu usafiri ni muhimu kuliko chochote. Huwezi niambia nikimbilie kujenga nyumba wakati naishi maisha magumu. Mkuu, hela inabidi ikutunze..siyo wewe kuitunza. Whatever I do, lazima nihakikishe kwamba nalala pazuri. Nakula vuzuri. Naendesha usafiri safi. Hayo ya ujenzi yatafuata tuu. Tena I can tell you kuna wapangaji wanaishi maisha mazuri kuliko hata wanaowapangisha nyumba. Pesa ni ya nini kama haikufanyi uishi maisha bora???

Na ukiangalia kwa waTanzania wengi, tunajenga kwa kasumba. tuna ule msemo wetu maarufu "kesho na kesho kutwa........"..."huwezi jua kesho....." Ukweli ni kwamba sehemu unayoishi, watu unao interact nao, in general, neighborhood unayokaa ina-determine quality ya maisha yako na watoto/familia yako.

By the way siyo kila mtu anajenga nyumba IMUINGIZIE pesa. Big no! Mimi hata ningekuwa na uwezo wa kujenga mansion nafanya hivyo kwa sababu nataka kuishi pazuri. Quality life. Siwezi kujenga nyumba nzuri ya mpangaji wakati mimi naishi sivyo.

Ushauri kwa vijana mnaomaliza Vyuo mnaingia mjini kuanza maisha.....live quality life kwanza. Maisha hayana rehearsal. Hata kama ni kupanga chumba..kipange sehemu nzuri (I hope mnanielewa). Huu ujinga unatafuta room moja halafu unakwenda kupanga Kongowe...Thanks no thanks! Nenda huko kama una nyumba yako.

Mwisho wa siku waswahili wanasema: Umaridadi huficha umasikini.
"Show off" nayozungumzia hapa ni mtu kufanya jambo ili jamii inayomzunguka imuone ni mtu wa class fulani ya maisha hasa utajiri ili hali jambo hilo linamdumaza zaidi kiuchumi.

Mf; wewe mwenyewe unasema unaweza kununua land cruiser just because you can afford it. Perhaps kama una uwezo wa kununua gari sio mbaya ila inategemea umelinunua kwa pesa ipi! Kama ni pesa kutoka katika return ya investments/bussines ni sawa kabisa ila kama ni mkopo au pesa ya mshahara wako kwangu mimi ni " stupidity".

Usinunue kitu just because you can afford it, buy thing because you need it. Don't live the kind of life of impressing others/yourself while you know you are hurting yourself especially financially.

Don't keeping up with Jones while you don't have investiments.
 
Cc@Nichumu nibebike
Aisee,
Nikiwa chuo nilimdharau sana Uncle wangu kwa kununua gari badala ya kujenga. Nilimuona mtu asiye na mipango ya mbele, na mpenda anasa.

Niliona kujenga nyumba ndio ingekuwa priority ya kwanza kwa kijana aliyepata ajira au kujiajiri.

Mimi niliajiriwa na kampuni mbili ndani ya mwaka mmoja, nikaachana na ajira.

Nilimfata mzee wangu mdogo anikopeshe 10M, nikiwa nimesevu zangu 6M. Alinipa kiasi kile baada ya kuona idea yangu.

Nilijichanganya na biashara za usafirishaji, kutoka nchi jirani naleta bongo.

Nilipiga ela mwanzoni, ila baadae mambo yakenda kombo. Kipindi ela zimechanganya nilinunua kiwanja cha 8M huko kimara. Ingawa nilikuja gundua moja ya kosa la kiufundi kuweka ela sehem isiyo zaa!!

Moja ya sababu iliyonifanya niweke mada hii ni kwamba, nilijikuta nina kwama sehemu nyingi kwakua sikua na usafiri.

Pili, hata kukopesheka, kudhaminiwa au hata Status ilikuwa ndogo tofauti na ningekuwa na gari.

Kuna biashara ambazo lazima ufanyee lobbing, lazima mkutane muongee na mtu sehemu tulivu upate madili.

The way nilivyo kuwa nakutana na watu hao walinipa attention ndogo sana baada ya kuona natumia daladala au bodaboda.

Mtu anakuita slip way au m.city then wkt wa kuagana yeya anapanda ndinga yake huku anakuona unachukua bodaboda na huku mlikuwa mnafanya dili la ela.

Ndipo nilikumbuka kwanini Uncle alinunua gari kabla ya yote.

Gari ni hitaji muhimu kwa sasa hasa kwa kijana wa kisasa. Kuna status au heshima mtu unakua nayo pale unapokuwa na usafiri wako.

Nilikosea sana kuona gari ni kitu cha anasa. Kuna standard ya maisha kijana wa sasa lazima uyaishi.

Ishi sehemu nzuri, vaa vizuri, Chakula kizuri na kagari kako kazuri, masuala ya kukurupuka na kwenda kujenga huko Chanika tena kwa mkopo, nyumba ambayo return yake hairudi hata kwa miaka 20 ni umasikini mkubwa.

Ni rahisi kukopesheka kwa mtu mwenye gari kwa jamaa yoyote kuliko mwenye nyumba.

Na mara nyingi wanao nunua gari kwanza ni rahisi kujenga kuliko wanao jenga then kununua gari.


Sijanunua gari bado, ila kwasisi tuliopitia masahibu haya ni vema kushea na wenzangu ambao huona gari kama kitu cha anasa na kisicho na umuhimu.

Nikicheki standards za nchi za wenzetu, mfano Japan 30% ndo asilimia ya wananchi wanao miliki nyumba, lkn 70 wote wamepanga flats. Na more than 80% wanamiliki gari.







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una kipato kikubwa kupanga ni kuchagua . Umeanza kazi na mshahara 1000000 take away . Ukanunua gari ndogo ya kwenda kazini tena kwa mkopo na umepanga . Mwenzako (the same salary) kawekeza kwenye ardhi na anatumia daladala , baada ya mwaka ana kajumba ka room mbili anaachana na kupanga . Baada ya miaka 10 ni nani zaidi ?? Miaka inavyosonga mbele nae atakuwa na kagari kake . Angalia " opportunity cost " mimi sio mchumi ila nilisoma economics mpaka form two nikaingia mitini .
 
Na Ukitaka kujua umuhimu wa gari uwe na mgonjwa usiku, unahanya usafiri halafu ukose usafiri jirani mwenye gari kasafiri tax hakuna longolongo kibao.
NB:MIMI SINA GARI JAMANI
Nikununulie.??
 
Kua uyaone!
Kwa mtazamo wako uko sahihi kabisa. Anayejenga nyumba yuko sahihi na anayenunua nyumba yuko sahihi pia. Ila neno la kwamba kununua ardhi ni kuweka hela sehemu isiyozaa - hapo ndo nimedharau uwezo wako wa kufikiri.
Natoa mfano;
Mwaka 1998, nilinunua plot ndogo kwa Tshs. 280,000/= na nikajenga kibanda kidogo humo ... hadi sasa ipo lakini ilishapanda bei na kuna mtu aliniletea milioni 13,500,000/= mwaka 2010 nikaikataa.
Usijidanganye hata siku moja ... ardhi ni zaidi ya kitu chochote. Haya magari ni makaratasi tu ... after 5 years gari ni takataka ila ardhi ndo inakuwa inaendelea kuwa na dhamani.
Dhamani

Thamani


Nani alikuwa mwalimu wako wa kiswahili vidudu na shule ya msingi....?!

Mbona kakuacha mtupu?!
 
Back
Top Bottom