YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,902
Ndoto isiyoingiza pesa ni bullshit.Unaotaje Ndoto ya kitu ambacho hakiingizi pesa Ila Kila pesa ? Hiyo Ndoto ni ya shetani la umaskin.malaika akikuotesha atakupa Ndoto ya jinsi ya kutajirika Na kuondokana Na ulofaKwahio unawashauri nini waTz? Wasijenge majumba makubwa ya kuishi au wasinunue magari ya ndoto zao? Tuelewe kwamba vipaumbele vya watu vimetofautiana. Kuna mtu ndoto yake ni kumiliki gari nzuri, nyumba kama atajenga ni ya kawaida. Mwingine ndoto yake ni kuwa na ghorofa la maana hata ale majani yeye anataka ghorofa. Pia vitu vizuri kila mtu anapenda sio vya wafanyabiashara tu.