KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Watu mnaoipenda chadema mlio nje hususan Marekani mnatakiwa kukisaidia chama kwa kufanya fundraising kukisaidia chama kulekea kwenye uchaguzi, nilizungumza na kiongozi mmoja alinipigia akiniomba nisaidie kufanya mobilization jukumu ambalo kwangu peke yangu naona ni gumu ndio maana nimelileta hapa nikiamini naweza kupata watu wawili watatu ambao watasaidia kubuni mpango mahsusi wa namna ipi bora ya kuifanya hiyo fundraising iwe successful na kuhakikisha inakwenda kufanya lengo lililokusudiwa,pia kuhakikisha watakaojitolea hawatambuliki kama watapenda kutotambulika.
Shime wana chadema ,chama kitajengwa na wanachama,cuf walifanya sana hizi harambee miaka ile kutokea nchi mbalimbali na ndio zilikua zikiipa cuf jeuri ukiacha ruzuku.Niko tayari kushare contacts zangu na za viongozi wa chadema to the right people.
Nawasilisha
Shime wana chadema ,chama kitajengwa na wanachama,cuf walifanya sana hizi harambee miaka ile kutokea nchi mbalimbali na ndio zilikua zikiipa cuf jeuri ukiacha ruzuku.Niko tayari kushare contacts zangu na za viongozi wa chadema to the right people.
Nawasilisha