Kwakua hali inajionesha itakua mbaya hasa kuanzia miezi ya pili na walau soko la ndani limeimarika kidogo ni wakati sasa wa Serikali kufunga mipaka na kuzuia uuzwaji wa mazao ya chakula nje ya nchi ili kukabiliana na hali ya taharuki ya usalama wa chakula.
Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, usalama wa taifa kazi yenu ni kuangalia usalama wa nchi na nchi ni mwananchi hakikisheni mnawashauri viongozi wenu juu ya haya kwani bila chakula hiyo amani mnayoilinda itatoweka binadamu akishakua na njaa hutomzuia kufanya lolote maana anakuwa kama amekufa tayari.
Viongozi naona wako kimya na tishio la njaa linalokuja tena bila wasiwasi wanaona ni kawaida kabisa sijui wanawaza nini hawa watu.
NJAA INAKUJA CHAKULA KITAPANDA BEI MARADUFU.
Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, usalama wa taifa kazi yenu ni kuangalia usalama wa nchi na nchi ni mwananchi hakikisheni mnawashauri viongozi wenu juu ya haya kwani bila chakula hiyo amani mnayoilinda itatoweka binadamu akishakua na njaa hutomzuia kufanya lolote maana anakuwa kama amekufa tayari.
Viongozi naona wako kimya na tishio la njaa linalokuja tena bila wasiwasi wanaona ni kawaida kabisa sijui wanawaza nini hawa watu.
NJAA INAKUJA CHAKULA KITAPANDA BEI MARADUFU.