Kweli huu uhuru wa maoni nao shida sasa mkuu anaisemea mahakama.
Tafadhali tuziheshimu mahakama zetu!CCM imepoteza Jimbo la Sumbawanga na imeshindwa kwenye kesi Singida na Biharamulo!Tuachie mahakama zetu zifanye kazi na kwangu zimeonyesha for somehow zipo fairi!
Matokeo yeyote ya kesi ya Mnyika ni ile ya Meatu kwa Mbunge Opulukwa tuyaheshimu kama ambavyo CCM wameheshimu maamuzi ya Mahakama kwenye kesi za Biharamulo,Sumbawanga na Singida ambako kote upinzani umeshinda!Na sina wasiwasi CCM itaheshimu pia maamuzi ya mahakama kwenye kesi ya Segerea na kwa hili kwa kweli naipongeza CCM!
Usafi ni jambo la msingi na la kawaida,unauhusisha vipi usafi wa jengo la ccm na kesi ya Mbunge Wa Chadema John Mnyika?Unatutafutia ban au?
hivi kila jimbo lina kesi mahakamani? mana kila siku nasikia kuna kesi ya mbunge huyu mara mbunge yule mahakamani
tatizo siyo uwingi wa kura bali hoja iliyoko mbele mlalamikaji anadai kura 14,000. kuwa hazipo ambazo hata akiwa hazimpi ushindi. Lema hoja iliyo mtoa ni lugha aliyo kuwa akitumia kipindi cha kampeni ambayo kwa historia iliwahi kumtoa mbunge mwingine huko Shinyanga (sikumbuki jina lake)
Mbona hata haiusiani? ofisi za CCM! kuvuliwa ubunge.! Jaji kukasirishwa na majibu ya Mnyika!
Mkuu msingi wa kesi ya Ubungo ni kura 14,000. ambazo hata akipewa zote huyo wa CCM hawezi kumshinda John na kumbuka kuwa hizi kura ni lazima kufuata ratio maalum kwa wagombea wote
Si mtaalam wa sheria naomba ufafanuzi zaidi juu ya hili