De Javu
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 264
- 33
Jamaa walikubaliana washindane kusema uongo ambao utafanana na ukweli, mshindi apewe zawadi...
Mmmarekani: Kwetu sisi kule New York kuna majumba mareeefu yanafika mbinguni!
Jamaa: loh nyumba gani hizo mpaka mbinguni?
Mmarekani: aah ok...kwa chini kidogo.
M-bagamoyo: Sisi kwetu kuna minazi mireefu inafika mbinguni!
Jamaa: loh na wewe nawe?
M-bagamoyo: hapana kwa chini kidogo.
Mmasai: Kule kwetu watu nasalia kwa kitovu!
Jamaa: aaah Mmmasai bwana loh umezidi sasa...
Mmasai: errooo kwa chini kidogo!
Mshindi ni nani hapo?
Mmmarekani: Kwetu sisi kule New York kuna majumba mareeefu yanafika mbinguni!
Jamaa: loh nyumba gani hizo mpaka mbinguni?
Mmarekani: aah ok...kwa chini kidogo.
M-bagamoyo: Sisi kwetu kuna minazi mireefu inafika mbinguni!
Jamaa: loh na wewe nawe?
M-bagamoyo: hapana kwa chini kidogo.
Mmasai: Kule kwetu watu nasalia kwa kitovu!
Jamaa: aaah Mmmasai bwana loh umezidi sasa...
Mmasai: errooo kwa chini kidogo!
Mshindi ni nani hapo?