jiniaz
Senior Member
- Aug 27, 2016
- 148
- 90
Mammaeh!!!Upinzani Tanzania bado sana.
Mammaeh!!!Upinzani Tanzania bado sana.
Umewahi kuona nchi gani Fisi anatumika kukusanyia watu,au pushups zikipigwa majukwaani?
Kuna tatizo gani sasa. Si unasema walichukua?mbona Zanzibar upinzani ulichukua?
Siyo kweli kaka, tume zinaongozwa na wateule wa wagombea unategemeaje??!!Mmmhhh bado watnzania wengi vijijin wanaikubali yaan kuna kazi maana hizo nchi ulizotaja wasomi wwngi na awaeeeness kubwa
Kuna watu uelewa wenu ni wa mashaka sana, Soma historia ndio utayajua hayo yote. Yaani Mawaziri wakuu wawili wastaafu kuhamia upinzani kuongeza nguvu tena wanakijua chama tawala vizuri wewe unaona sawa wangewekwa bechi tu? Nchi zote ambazo upinzani unatwaa madaraka utakuta viongozi wengi wa upinzani walitoka chama tawala. Kipi kipya hapo?Wangekuwa wanasimamisha wagombea wazuri wangechukua Nchi tangu 2010. Lakini kwa kusubiri Makapi ya CCM watasubiri sana labda 2055
Kaka pamoja na hayo lkn watanzania bado aiseeSiyo kweli kaka, tume zinaongozwa na wateule wa wagombea unategemeaje??!!
Hakuna chama cha upinzani duniani kisichoongozwa na waliotoka chama tawa, Kunapotokea mitifuano dani ya chama tawala wengi hukimbilia upinzani, sasa wewe unaona maajabu gani hapo?Kasome historia, kama huelewi nyamaza.Je upinzani huko Ghana unaazima wagombea?
Haya, sawa. Hata Mamvi alishinda. Sina tatizo na hilo.CUF walishinda uchaguzi Zanzibar October 25, 2015. Over! Yana mwisho hayo.
Upinzani Tanzania bado sana.
Tume ikiwa huru CCM aichukui raudi
Halafu wanashinda uchaguzi, ha ha ha. Hujawahi kuona?Umewahi kuona nchi gani Fisi anatumika kukusanyia watu,au pushups zikipigwa majukwaani?
Mamvi atashinda, ha ha ha.Tume ikiwa huru CCM aichukui raudi