Wanasahau kuwa huo uchafu wanaowasemea waliufanyia wakiwa CCM..........So CCM ni chama kinachowafuga wachafu (wakibaki CCM uchafu wao hautokaa usemwe hadharani) pit.And verse versa is true, pia ni wachafu mpaka pale watakapohama ccm.
Hapo ndipo wanasiasa unishangaza.
Usimuamini mwanasiasa hata kiutani utani
Hizi ni null hypothesis tuu mkuu ChakazaNext ni (mkwere)??? Ukweli watu wamemchoka ngosha ni hakuna mfano. Nyalandu kaonyesha njia na sasa exit itakuwa ya kutisha.
Swali ni moja, mbona hamkuyasema hayo wakati akiwa bado ccm? Hii inamaana kwamba ccm wanalinda wahalifu na mafisadi wakiwa kwao wakisubiri kuwashughulikia wakirudi upande wa pili na huo ndiyo uzalendl was def ya maccm.Kwani Nyarandu anasingiziwa? Twiga walihama mikononi mwaka, Alionekana mbashara kwenye picha akiendesha matanuzi na mademu bila aibu, amejimilikisha vitaku kibao na ducument zipo wazi. Sasa haya machache yenye ushahidi je anaonewa? Chadema walimshambulia wao wenyewe na clip zipo je wakimsingizia ?
— Joshua Nassari (@joshua_nassari) in twitterSiwashangai uvccm wakimsema Nyalandu kuhusu Mali asili.
Najua ipo siku Magufuli nae akihamia Chadema watasema aliuza Nyumba za serekali.
Chadema ya juzi sio Chadema ya leo.Kuna wakati wanakula matipishi yao,tusema huyo CCM anapunguzia maovu yake kwa Chadema.Kwani Nyarandu anasingiziwa? Twiga walihama mikononi mwaka, Alionekana mbashara kwenye picha akiendesha matanuzi na mademu bila aibu, amejimilikisha vitaku kibao na ducument zipo wazi. Sasa haya machache yenye ushahidi je anaonewa? Chadema walimshambulia wao wenyewe na clip zipo je wakimsingizia ?