voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,551
- 11,881
Kama Mungu angemjalia Nyerere Uhai kama kina "Warioba" na "Butiku"
Kwa hii CCM-asali.
Na kama ingetokea Nyerere kuwakosoa CCM hii.
Kama wafanyavyo kina.. Ndugai,Bashiru,Butiku na Warioba!
Yangempata kama yanayowapata hao Makada wakongwe na Watiifu maisha yao yote imekuwa CCM.
Ambao sasa tunaona Michango yao ndani ya uwepo wa CCM mpaka sasa!
Ikisahaulika kwa kasi ya 4G,na badala yake wanatumiwa wahuni wa kisiasa!
Wasio na rekodi yoyote ya maana ndani ya nchi hii.
Na pia ndani ya CCM kwenyewe!
Kwamba kina
Kihongosi -Kashfa ya ubadhirifu mke wake huko Arusha.
Kigwangalla!-Kadhfa ya ubadhirifu Wizarani Maliasili,Pamoja na kumsusa matibabu Baba yake mzazi.
Wewe Musukuma-kashfa ya kumtapeli Bilionare wa Kahama Mbegesera,kwa kulitumia vibaya jina la JPM.
Kwamba angemsaidia kuongea naye.(Mh Hussen mbunge wa Nyangh'wale CCM .alimtumia busara kulimaliza hili
Kibajaji- Anatumia mbinu hii ili arudi na kuingia kundi jipya la Asali Boys.
Ikiwa ni baada ya kulikoroga enzi za JPM kwa kutoa lugha kejeli kwao.
Na alipofariki JPM, Kibajaji akajikuta yuko njiapanda.
Sasa ni kama alipewa upenyo kwa kumtumia Dkt Bashiru ili wamtakase na kumkubali.
Eti hawa ndio wanapata Uthubutu wa kuwakemea watu kama kina Bashiru...bosi wao sliewapigania na kufanikiwa kurudi Bungeni 2020,Chini ya uratibu wake kama katibu Mkuu!
Kwamba wanawaambia kina mzee Butiku na Warioba,wakae pembeni sababu muda wao ulikwisha pita!
Ndio maana kumbe Serikali imeipa kisogo Taasisi ya Mwalimu Nyerere "Foundation"
Sasa tumeijua sababu ni kwamba haikubaliani na Maovu ya watawala.
Alamsikhi.
10101.
Kwa hii CCM-asali.
Na kama ingetokea Nyerere kuwakosoa CCM hii.
Kama wafanyavyo kina.. Ndugai,Bashiru,Butiku na Warioba!
Yangempata kama yanayowapata hao Makada wakongwe na Watiifu maisha yao yote imekuwa CCM.
Ambao sasa tunaona Michango yao ndani ya uwepo wa CCM mpaka sasa!
Ikisahaulika kwa kasi ya 4G,na badala yake wanatumiwa wahuni wa kisiasa!
Wasio na rekodi yoyote ya maana ndani ya nchi hii.
Na pia ndani ya CCM kwenyewe!
Kwamba kina
Kihongosi -Kashfa ya ubadhirifu mke wake huko Arusha.
Kigwangalla!-Kadhfa ya ubadhirifu Wizarani Maliasili,Pamoja na kumsusa matibabu Baba yake mzazi.
Wewe Musukuma-kashfa ya kumtapeli Bilionare wa Kahama Mbegesera,kwa kulitumia vibaya jina la JPM.
Kwamba angemsaidia kuongea naye.(Mh Hussen mbunge wa Nyangh'wale CCM .alimtumia busara kulimaliza hili
Kibajaji- Anatumia mbinu hii ili arudi na kuingia kundi jipya la Asali Boys.
Ikiwa ni baada ya kulikoroga enzi za JPM kwa kutoa lugha kejeli kwao.
Na alipofariki JPM, Kibajaji akajikuta yuko njiapanda.
Sasa ni kama alipewa upenyo kwa kumtumia Dkt Bashiru ili wamtakase na kumkubali.
Eti hawa ndio wanapata Uthubutu wa kuwakemea watu kama kina Bashiru...bosi wao sliewapigania na kufanikiwa kurudi Bungeni 2020,Chini ya uratibu wake kama katibu Mkuu!
Kwamba wanawaambia kina mzee Butiku na Warioba,wakae pembeni sababu muda wao ulikwisha pita!
Ndio maana kumbe Serikali imeipa kisogo Taasisi ya Mwalimu Nyerere "Foundation"
Sasa tumeijua sababu ni kwamba haikubaliani na Maovu ya watawala.
Alamsikhi.
10101.