wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Amani kwetu,
Leo kumefanyika mnada wa kwanza wa korosho huko Masasi na Newala. Huu ukiwa ni mnada wa kwanza kabisa tangu uamuzi wa serikali kununua korosho mwaka jana kufuatia bei hafifu.
Msimu huu bei zimeanzia 2,100 hadi 2,500. Bei hizi kwa kweli bado sio rafiki kwa mkulima kwa ntazamo wa rais wetu.
Wakulima hawa wanyonge kwa utaratibu wa sasa watakumbwa na makato kadhaa hivyo kupunguza mapato tarajio.
Nimeuombe mh Rais Magufuli arudi tena kuwatazama wakulima hawa,ikiwezekana asitishe ama afute kabisa makato haya kwa mkulima.
Kwa msimu huu wa korosho bado mambo yatakuwa kwa wastani..
Tunawatakia heri wakulima wote wa korosho pamoja na vyombo vyote vinavyosimamia na kuunga mkono juhudi za wakulima wa korosho.
Updates:
Wakuu wa mikoa Mtwara na lindi pamoja na wakuu wa wilaya zote waitwa dar,wafanya kikao kizito.
Hongera serikali kwa kuwakaribu na wakulima.
Leo kumefanyika mnada wa kwanza wa korosho huko Masasi na Newala. Huu ukiwa ni mnada wa kwanza kabisa tangu uamuzi wa serikali kununua korosho mwaka jana kufuatia bei hafifu.
Msimu huu bei zimeanzia 2,100 hadi 2,500. Bei hizi kwa kweli bado sio rafiki kwa mkulima kwa ntazamo wa rais wetu.
Wakulima hawa wanyonge kwa utaratibu wa sasa watakumbwa na makato kadhaa hivyo kupunguza mapato tarajio.
Nimeuombe mh Rais Magufuli arudi tena kuwatazama wakulima hawa,ikiwezekana asitishe ama afute kabisa makato haya kwa mkulima.
Kwa msimu huu wa korosho bado mambo yatakuwa kwa wastani..
Tunawatakia heri wakulima wote wa korosho pamoja na vyombo vyote vinavyosimamia na kuunga mkono juhudi za wakulima wa korosho.
Updates:
Wakuu wa mikoa Mtwara na lindi pamoja na wakuu wa wilaya zote waitwa dar,wafanya kikao kizito.
Hongera serikali kwa kuwakaribu na wakulima.
Rais Magufuli aongoza kikao cha viongozi wanaohusika na zao la korosho
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli katika kikao cha viongozi wa Wizara, Mikoa, Wilaya na Taasisi za Serikali zinazohusika na mazao ya Korosho na Ufuta alipokutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 1, 2019. Chanzo: Umoja Tv
www.jamiiforums.com