Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Hizo A10 za 250k zinauzwa wapi hapo ?Ngumu, hio Ni Bei ya A10.
Hizo A10 za 250k zinauzwa wapi hapo ?Ngumu, hio Ni Bei ya A10.
Matumizi ya picha ni kwa watoto na vidosho wengine tunafanyia mambo ya msingi tuA series bora kuanzia A30 lkn A10 &A 20 cjaona maajabu kwenye camera camera zake ziko sawa na tecno hasa selfie camera,kwa mpenda picha hiz cm hazimfai japo kama mpenz wa performace ya cm sawa
Duka lipi nahitaji niipate over the weekendNilimnunulia dogo Kariakoo Mwezi wa 5 TZS 260K. Nenda kariakoo au posta.
Uliposema tu zinatengenezwa China umenikatisha tamaa sana kuinunua.
Nenda kariakoo pale maduka ya ilipokua round about pale uulizie, uliza duka zaidi ya moja, bei isizidi 270 ukipigwa sana mkuu.Duka lipi nahitaji niipate over the weekend
SawaNenda kariakoo pale maduka ya ilipokua round about pale uulizie, uliza duka zaidi ya moja, bei isizidi 270 ukipigwa sana mkuu.
Kuna mdau humu alikuwa na duka lake anatangaza anaziuza kwa 260K nimeutafuta Uzi sijauona.Hizo A10 za 250k zinauzwa wapi hapo ?
Mkuu nitapata wapi A10 kwa 250000,nimeulizia leo mjini morogoro ni 280000
Boss kwa hii 250K kweli kuna uhakika wa kupata A10 ? Maana ukienda TIGO SHOP hapa shinyanga ni 320 , A30 ni laki nne na ngapi ? Ili tuwe na uhakika .A30 Ni laki 4 na kitu, Ni nzuri zaidi.
Otherwise nunua A10 kwa around 250k
260K for sure, 250K nimeweka Kama reference Ila naamini ukitafuta vizuri unapata.Boss kwa hii 250K kweli kuna uhakika wa kupata A10 ? Maana ukienda TIGO SHOP hapa shinyanga ni 320 , A30 ni laki nne na ngapi ? Ili tuwe na uhakika .
AsanteKuna mdau humu alikuwa na duka lake anatangaza anaziuza kwa 260K nimeutafuta Uzi sijauona.
Pia Mimi mwenyewe nimewahi Kuinunua Aggrey kwa 260K.
Cha muhimu hakikisha box lake lipo sealed na ile sticker ya warranty.