Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,713
- 39,793
Ngumu, hio Ni Bei ya A10.Hiv kuna mtu humu yuoko dar anaweza niusia hii a30 kwa 250k jmn nnisaidieni.
Ngumu, hio Ni Bei ya A10.Hiv kuna mtu humu yuoko dar anaweza niusia hii a30 kwa 250k jmn nnisaidieni.
Kioo cha 720p na 1080p vina tofauti gan??Performance hizi A series zote zipo vizuri, Ila camera Ni za kawaida sana, advantage ya A20 over A10 Ni amoled display sema still kioo Ni 720p, hivyo quality yake Ni ya kawaida Sana.
Vina idadi ya pixel tofauti.Kioo cha 720p na 1080p vina tofauti gan??
Vina idadi ya pixel tofauti.
720p kunakuwa na pixel Kama milioni 1
1080p kunakuwa na pixel Kama milioni 2
Hizo pixel zinatakiwa ziwe ndogo mpaka jicho la mwanadamu lisizione ndio unaona picha vizuri, ila jicho likianza kuona pixel basi picha nayo inakuwa haina quality,
Kwa jicho la mwanadamu kioo Cha chini ya inch 5 kikiwa umbali wa karibu na jicho 720p Ni sawa haina tatizo Ila kioo kikizidi 5 inch 1080p Ni nzuri zaidi.
Pixel Ni vidoti kwenye kioo ambavyo vinaonesha picha. Mfano wa kioo ambacho kimekuwa zoomed in na unaoona pixel
Phantom ipi mkuu? Ungeweka model ingekuwa vizuri. Issue kubwa ya Tecno simu zao zinauzwa ghali Sana, sometime ghali Kushinda hata Samsung wanaweza specs ndogo na za kizamani.Mkuu unazizungumziaje phantom series za tecno?
Wewe upo wapi?Huku niliko maduka hayauzi kwa bei hiyo at tigo shop
Labda after idd ndo bei hiyo
Nimechek leo A10 inasimamia 300 A30 wanaomba 500,000
Ni jumia hao mkuu ndio wanauza hiyo bei sio mimi,Uko wapi
Watu hawaelewi hilo na hawatotaka kuelewa.Phantom ipi mkuu? Ungeweka model ingekuwa vizuri. Issue kubwa ya Tecno simu zao zinauzwa ghali Sana, sometime ghali Kushinda hata Samsung wanaweza specs ndogo na za kizamani.
Nmekuelewa brohPerformance hizi A series zote zipo vizuri, Ila camera Ni za kawaida sana, advantage ya A20 over A10 Ni amoled display sema still kioo Ni 720p, hivyo quality yake Ni ya kawaida Sana.
Mkuu nitapata wapi A10 kwa 250000,nimeulizia leo mjini morogoro ni 280000Ngumu, hio Ni Bei ya A10.
Wapi hapo ?Zimeshuka juzi nimemnunulia mwamba kwa 260
Zinapatikana wapi za laki mbili mm pia nahitaji back up phone iwe SamsungNdio bei yake. Ukiuziwa zaidi ya hapo umeibiwa
Tigo shops A10 wanauza 320k pale Mlimani city with receiptsHuku niliko maduka hayauzi kwa bei hiyo at tigo shop
Labda after idd ndo bei hiyo
Nilimnunulia dogo Kariakoo Mwezi wa 5 TZS 260K. Nenda kariakoo au posta.Zinapatikana wapi za laki mbili mm pia nahitaji back up phone iwe Samsung
Uliposema tu zinatengenezwa China umenikatisha tamaa sana kuinunua.Wame outsource kwa odm, Kuna kampuni ya kichina (inayotengeneza simu za xiaomi) ndio inatengeneza hizi simu,