Watanzania wengi Wana sifa kuu Tatu ambazo sio nzuri kwa afya ya Taifa lolote:-
1. Wavivu
2. Wezi na sio waaminifu
3. Wanapenda sana starehe /maisha mazuri kuliko kufanya kazi.
Sasa kwa sifa hizo mbali na kwamba tuna kila kitu ni Ngumu sana kuendelea labda tupate EITHER Katiba inayong'ata watu wawekwe ndani hata kwa kucheza pool table, watu wasweke ndani na kunyongwa kwa kula hela za miradi, watu wafanye kazi tujenge viwanda tuuze nje.
AU Rais Dictator alie mzalendo wa Kweli.
Au mnaonaje wana JF?
1. Wavivu
2. Wezi na sio waaminifu
3. Wanapenda sana starehe /maisha mazuri kuliko kufanya kazi.
Sasa kwa sifa hizo mbali na kwamba tuna kila kitu ni Ngumu sana kuendelea labda tupate EITHER Katiba inayong'ata watu wawekwe ndani hata kwa kucheza pool table, watu wasweke ndani na kunyongwa kwa kula hela za miradi, watu wafanye kazi tujenge viwanda tuuze nje.
AU Rais Dictator alie mzalendo wa Kweli.
Au mnaonaje wana JF?