04sabrah05
Member
- Aug 9, 2016
- 20
- 15
Kwa mujib wa calendar ya TCU Leo ni tar14 maana naona kimya hadi sasa
Mkuu, mimi natumia simu. Sijaona chochote, wamesemaje kuhusu hiyo GPA.Guidebook mliokuwa mnaitaka mmeshawekewa teyarrr ingia kwenye tovut ya tcu