Kwema wandugu?
Hassan Mpambije, tajiri wa Sengerema, aliyewahi kuwa na biashara ya gari za Cruiser kutoka Kamanga hadi Sengerema, na ana maduka kadhaa ya nguo pamoja na Mpambije Complex iliyoko pale Sengerema mjini ni Baba yangu mdogo niliyepotezana nae miaka 7 sasa.
Sina mawasiliano yoyote upande wa ndugu wa baba baada ya kwenda nje masomoni na nimerudi hivi majuzi nimefikia Dar. Natamani kwenda Sengerema Mwanza nikatembee kidogo, lakini ni lazima niwe nae in-touch kwanza kwasababu sifahamu mtu kule.
Naomba kama unamfahamu, unijulishe pa kuanzia kumtafutia au unisiadie namba yake. Karibu PM
Hassan Mpambije, tajiri wa Sengerema, aliyewahi kuwa na biashara ya gari za Cruiser kutoka Kamanga hadi Sengerema, na ana maduka kadhaa ya nguo pamoja na Mpambije Complex iliyoko pale Sengerema mjini ni Baba yangu mdogo niliyepotezana nae miaka 7 sasa.
Sina mawasiliano yoyote upande wa ndugu wa baba baada ya kwenda nje masomoni na nimerudi hivi majuzi nimefikia Dar. Natamani kwenda Sengerema Mwanza nikatembee kidogo, lakini ni lazima niwe nae in-touch kwanza kwasababu sifahamu mtu kule.
Naomba kama unamfahamu, unijulishe pa kuanzia kumtafutia au unisiadie namba yake. Karibu PM