Master jay
Senior Member
- May 28, 2012
- 194
- 29
ni baba yangu, ni mtoto wake wa nje, aliponipa jina la JOSEPH alihamishwa kikazi (alikuwa mkuu wa kituo cha polisi HIMO mwishon mwa mwaka 1979). Ila nasikia alihamishiwa TAZARA. Baadae ndo haitambuliki alirudi kijijin au la. Kwa kifup alikuwa amemwoa mama flan wa kimachame na mpaka wakati nazaliwa alikuwa anawatoto wa 4 wa kike. Hivyo simjui sura ya baba wala hao dada zangu wa kimachame. Ni msukuma ila sijui ni shinyanga au mwanza au tabora. Kupotezana na baba kunaweza kuwa ni makosa ya wazaz kama wao ila sitak kuyaingilia. Wana jf kama kuna mwenye details yoyote mwenye tetes naomba uwasiliane nam kwa cm no 0715288927