Nimejaribu kujaza upya form ya kukata rufaa maombi ya mkopo-HESLB,ajabu personal information zinakuja lakini sipati 'option' ya kuniruhusu kujaza maelezo mengine kama ilivyoelekezwa ktk tangazo la Bodi.
Kwa yeyote mwenye uzoefu tafadhali msaada wa haraka
Poleni sana wadogo zangu wote msumbuliwao na mizigoya kujaza appealing form,naomba mnitafute tuone kama ntaweza kuwatua mizigo hyo kwani namie nilipitia huko na nimeshatatua.0758 536373
Ahsante,wote mlioweka mawasiliano yenu,nimehangaika kiasi cha kutosha,leo nimeenda kutafuta msaada kwa Loan Officer wa chuoni kwangu lakini hakuwa na nafasi,awali nilifikiri kwa vile ilikuwa weekend,lakini nimegundua tatizo ni zaidi ya Weekend,ni usiku sasa kwa kudra za Maulana kesho nitakutafuteni niweze kumalizana na hili zoezi,Pesa yangu (Sh.5,000/-) ya ku appeal washakula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.