mangi mpigie dogo huyu kazi zake yuko kinondoni yeye ni graphics designerWadau wa JF naulizia kama kuna mtu anajua gharama za uchapishaji wa coloured magazine size A4 ya page 48 inarange kwenye sh ngapi au anayejua mtu anayefanya hizo business za printing ani hook up naye...Natanguliza shukrani.
Gharama ya kuprint inategemea pia idadi ya copies unazoprint. Copy zinapokuwa nyingi, per copy cost inapungua. Jamana Printers wako pale Quality Plaza ni wazuri lakini gharama zao ziko juu. Just to give you an idea, niliprint magazine ya 28 pages, 2000 copies ilicost 3.5M
WEWE UJATULIA KABISA HALAFU UKIJUA UTAFANYAJE NA WAKATI MWENZIO AMEKUELEKEZA SEEHEMU YA KUPRINT ILO MAGAZINE LAKO hoto: