Kwa anayejiamini anaweza

Lisa

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
1,549
1,074
Wadau kuna mtanzania aishie Marekani anahitaji kupata mwanaume wakitanzania mwenye uwezo wakumpa raha kwauhakika yeye ana umri wa miaka 43 lakini mwonekano wake ni kama miaka 23.

Anapenda:
Napenda night life and fine things in life.

Alizaliwa masikini lakini sasa ana pesa.

Sifa za mwanaume anayemwihitaji:
Nataka mtu anayetaka kufanya kazi, sitaki mzembe. Sitaki mtu anaye taka kugombana or controlling. Hata kama ana mtoto (watoto), ni sawa tu. Napenda mtu mrefu kunipita mimi. Mimi ni 5 foot tall, and niko mwembamba mwenye shape nzuri.

Nataka mtu anayependa kufanya mapenzi mara nyingi na mimi. Sitaki mtu anaye vuta sigara ama bangi or street drugs. Sitaki mtu anaye kunywa pombe nyingi kila siku.

Dini yoyote ni sawa tu. Sitaki mwanaume mwembamba sana ama manene sana. Lazima awe mtu msafi sana kwa sababu mimi ni msafi sana.

Nataka mtu between miaka 35 na 53. Akiwa na nwyele ama kipara ni sawa tu.

The main thing is he must be able to make love to me......and know how to use his tools......!
 
Wadau kuna mtanzania aishie Marekani anahitaji kupata mwanaume wakitanzania mwenye uwezo wakumpa raha kwauhakika yeye ana umri wa miaka 43 lakini mwonekano wake ni kama miaka 23.

Anapenda:
Napenda night life and fine things in life.

Alizaliwa masikini lakini sasa ana pesa.

Sifa za mwanaume anayemwihitaji:
Nataka mtu anayetaka kufanya kazi, sitaki mzembe. Sitaki mtu anaye taka kugombana or controlling. Hata kama ana mtoto (watoto), ni sawa tu. Napenda mtu mrefu kunipita mimi. Mimi ni 5 foot tall, and niko mwembamba mwenye shape nzuri.

Nataka mtu anayependa kufanya mapenzi mara nyingi na mimi. Sitaki mtu anaye vuta sigara ama bangi or street drugs. Sitaki mtu anaye kunywa pombe nyingi kila siku.

Dini yoyote ni sawa tu. Sitaki mwanaume mwembamba sana ama manene sana. Lazima awe mtu msafi sana kwa sababu mimi ni msafi sana.

Nataka mtu between miaka 35 na 53. Akiwa na nwyele ama kipara ni sawa tu.

The main thing is he must be able to make love to me......and know how to use his tools......!


Fidel, Chrispin, Masanilo , Geff tafadhali haumo umo maana wewe bado mchanga kwenye ndoa. na wengine mnaoona mko fity mnaweza kuapply.Hahahahahah!
 
...Mh! Haya mengine ni majini nini?? Mwanaume anayeweza kufanya mapenzi mara nyingi??!!....Haya.
 
Desperado who does not want to grow up...Mmmh men in the house all the best!
 
mmh! Lisa hawa watu unawatoa wapi?

....he!he!he!he!...mpwaaz huendi kurudisha matumini mpk sasa upo tu? he!he!he!....men wote wa JF huyu bibie hawafai......wako addicted to JF than patinaz wao....
icon10.gif
icon10.gif
!
 
du lisa mbona tangu umeingia unawatafutia wadada tu soko,waambie wenyewe waingie jf wajitupe kwenye kinyang'anyiro
 
....he!he!he!he!...mpwaaz huendi kurudisha matumini mpk sasa upo tu? he!he!he!....men wote wa JF huyu bibie hawafai......wako addicted to JF than patinaz wao....
icon10.gif
icon10.gif
!
Hahaha nimeipenda hii na ina ukweli hawa wanaume mpaka sasa wako jf huduma nyeti wanatoa saa ngapi?
 
Wadau kuna mtanzania aishie Marekani anahitaji kupata mwanaume wakitanzania mwenye uwezo wakumpa raha kwauhakika yeye ana umri wa miaka 43 lakini mwonekano wake ni kama miaka 23.

Anapenda:
Napenda night life and fine things in life.

Alizaliwa masikini lakini sasa ana pesa.

Sifa za mwanaume anayemwihitaji:
Nataka mtu anayetaka kufanya kazi, sitaki mzembe. Sitaki mtu anaye taka kugombana or controlling. Hata kama ana mtoto (watoto), ni sawa tu. Napenda mtu mrefu kunipita mimi. Mimi ni 5 foot tall, and niko mwembamba mwenye shape nzuri.

Nataka mtu anayependa kufanya mapenzi mara nyingi na mimi. Sitaki mtu anaye vuta sigara ama bangi or street drugs. Sitaki mtu anaye kunywa pombe nyingi kila siku.

Dini yoyote ni sawa tu. Sitaki mwanaume mwembamba sana ama manene sana. Lazima awe mtu msafi sana kwa sababu mimi ni msafi sana.

Nataka mtu between miaka 35 na 53. Akiwa na nwyele ama kipara ni sawa tu.

The main thing is he must be able to make love to me......and know how to use his tools......!


Je wewe unayaweza maana isiwe unataka mtu mpiga kibuyu wakati wewe mwenyewe MCHAGA...ngoma ya ngosha ze don utaiweza wewe? maana mara kumi kwa siku ndo ngosha natosheka...hebu toa CV yako ki mapenzi kwanza...
 
watu tunataka CV iliyokwenda shule,pombe hatunywi sigara wala bangi hatuvuti ila tunavuta maji ya KIBUYUNI...je wewe unayaweza mama?
 
Wadau kuna mtanzania aishie Marekani anahitaji kupata mwanaume wakitanzania mwenye uwezo wakumpa raha kwauhakika yeye ana umri wa miaka 43 lakini mwonekano wake ni kama miaka 23.

Anapenda:
Napenda night life and fine things in life.

Alizaliwa masikini lakini sasa ana pesa.

Sifa za mwanaume anayemwihitaji:
Nataka mtu anayetaka kufanya kazi, sitaki mzembe. Sitaki mtu anaye taka kugombana or controlling. Hata kama ana mtoto (watoto), ni sawa tu. Napenda mtu mrefu kunipita mimi. Mimi ni 5 foot tall, and niko mwembamba mwenye shape nzuri.

Nataka mtu anayependa kufanya mapenzi mara nyingi na mimi. Sitaki mtu anaye vuta sigara ama bangi or street drugs. Sitaki mtu anaye kunywa pombe nyingi kila siku.

Dini yoyote ni sawa tu. Sitaki mwanaume mwembamba sana ama manene sana. Lazima awe mtu msafi sana kwa sababu mimi ni msafi sana.

Nataka mtu between miaka 35 na 53. Akiwa na nwyele ama kipara ni sawa tu.

The main thing is he must be able to make love to me......and know how to use his tools......!
Huyo mama ametoa specification utadhani naye ni design engineer. Tena anadesign watu. Mimi nimemeet all the specifications za hapo juu nipe hiyo biashara nihangaike nayo.Lol
 
Haya sasa ma suicide mission midege ya jeshi hiyo advertise nje nje.
 
Back
Top Bottom