MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
kwa yoyote ambae amewahi kuitumia hii gari,naomba anijulishe ubora wake,ulaji wa mafuta pia je mafundi wa Tanzania wanaweza kuzitengeneza hizi gari nimetokea kuzipenda sana,kuhusu spare nimefanya utafiti ughaibuni zinapatikana kwa bei nafuu.
Naomba mawazo yenu
Naomba mawazo yenu