Wakuu samahani, mi ndiyo post yangu ya kwanza ila naombeni mnikaribishe kwenye jukwaa. mimi nina umri wa miaka 31, natafuta mchumba kuanzia :A S-baby::A S cry:miaka miaka 20 hadi 25. awe na Elimu kuanzia kidato cha nne na awe mfanyakazi, mwalimu atapewa kipaumbele. awe mlokole . mimi nimemaliza chuo kikuu na ninafaya kazi kwenye shirika moja. Naishi ARUSHA