Kwa anavyotaka awe lilikuwa ni kosa kubwa mno kwa yeye kumchagua VP tuliyenaye awe msaidizi wake.

jitombashisho

JF-Expert Member
Jun 11, 2020
667
2,242
VP ni muumini na ni mtu anayeamini katika falsafa za Hayati.

Na kwa namna inavyoonekana boss anataka awe na mlengo wake wa kipekee tofauti na Hayati japokuwa alikuwa msaidizi wake.

Na kwa namna ninavyomfahamu VP itakuwa ngumu mno kwakwe eti kwa haraka awe na fikra tofauti na Hayati,nasisitiza ni VIGUMU!

Hapo penye ugumu ndipo wao wawili kwa maana ya Viongozi kila mtu atataka awe na namna ya uongozi wake.

Japokuwa sina hakika lakini naamini katiba haimruhusu Rais kumfukuza VP kwenye nafasi yake labda chama kimfute uanachama na hapo VP atakosa uhalali wa kuwa VP.

Yetu macho.
 
Sio kosa mkuu makamu anamskiliza rais hivo usiwe na hofu matakwa ya rais watasimamiwa vilivyo na Msaidizi wake ambae ni makamu yy yupo kufuata na kufanya kila ambalo rais anataka ama kumuagiza
 
VP ni muumini na ni mtu anayeamini katika falsafa za Hayati.

Na kwa namna inavyoonekana boss anataka awe na mlengo wake wa kipekee tofauti na Hayati japokuwa alikuwa msaidizi wake.

Na kwa namna ninavyomfahamu VP itakuwa ngumu mno kwakwe eti kwa haraka awe na fikra tofauti na Hayati,nasisitiza ni VIGUMU!

Hapo penye ugumu ndipo wao wawili kwa maana ya Viongozi kila mtu atataka awe na namna ya uongozi wake.

Japokuwa sina hakika lakini naamini katiba haimruhusu Rais kumfukuza VP kwenye nafasi yake labda chama kimfute uanachama na hapo VP atakosa uhalali wa kuwa VP.

Yetu macho.
VP wetu ni rigid sana na bado anaishi kwenye awamu ya mwenda zake
 
VP ni muumini na ni mtu anayeamini katika falsafa za Hayati.

Na kwa namna inavyoonekana boss anataka awe na mlengo wake wa kipekee tofauti na Hayati japokuwa alikuwa msaidizi wake.

Na kwa namna ninavyomfahamu VP itakuwa ngumu mno kwakwe eti kwa haraka awe na fikra tofauti na Hayati,nasisitiza ni VIGUMU!

Hapo penye ugumu ndipo wao wawili kwa maana ya Viongozi kila mtu atataka awe na namna ya uongozi wake.

Japokuwa sina hakika lakini naamini katiba haimruhusu Rais kumfukuza VP kwenye nafasi yake labda chama kimfute uanachama na hapo VP atakosa uhalali wa kuwa VP.

Yetu macho.


Tumechoka kujadili vyeo tujadili mifumo na maendeleo.
 
Hata mama hakupenda aliyokuwa anayafanya Rais, na isemekanavyo aliwahi kufanya attemp za kujiuzulu. Nafasi ipo ya yeye kujiuzulu akawe VP kwa yule kwa huyo aliyeondoka. Otherwise hana namna zaidi ya kutii. Zaidi sana atumie taaluma yake ya uchumi kumshauri mama vizuri.

Kwa katiba ya nchi hii, namba moja ndiye kila kitu.
 
VP ni muumini na ni mtu anayeamini katika falsafa za Hayati.

Na kwa namna inavyoonekana boss anataka awe na mlengo wake wa kipekee tofauti na Hayati japokuwa alikuwa msaidizi wake.

Na kwa namna ninavyomfahamu VP itakuwa ngumu mno kwakwe eti kwa haraka awe na fikra tofauti na Hayati,nasisitiza ni VIGUMU!

Hapo penye ugumu ndipo wao wawili kwa maana ya Viongozi kila mtu atataka awe na namna ya uongozi wake.

Japokuwa sina hakika lakini naamini katiba haimruhusu Rais kumfukuza VP kwenye nafasi yake labda chama kimfute uanachama na hapo VP atakosa uhalali wa kuwa VP.

Yetu macho.
VP akizidi kupandisha mapembe tunajua cha kufanya. Hoja inapelekwa kwenye Chama anavuliwa nafasi zake zote na kuvuliwa uanachama anabaki Kama Marehemu Aboud Jumbe. Anapoteza cheo cha VP na tunapata VP anaeendana na maono ya Mama.

VP Mpango ajiangalie sana , asimuharibie Mama yetu.
 
Jamani mbona tumeshawaambia VP ni cheo kisichotoa wigo wa kufanya maamuzi? Kazi yake ni kuhudhuria warsha za Chama kujaribu kumshauri rais, kutabasamu na kuomba Mungu ngwe iishe salama.

Kutoka Rais cheo kinachofuatia katika kuwa na wigo mpana wa kufanya maamuzi ni PM.

So maoni yako hayana mantiki.
 
VP ni muumini na ni mtu anayeamini katika falsafa za Hayati.

Na kwa namna inavyoonekana boss anataka awe na mlengo wake wa kipekee tofauti na Hayati japokuwa alikuwa msaidizi wake.

Na kwa namna ninavyomfahamu VP itakuwa ngumu mno kwakwe eti kwa haraka awe na fikra tofauti na Hayati,nasisitiza ni VIGUMU!

Hapo penye ugumu ndipo wao wawili kwa maana ya Viongozi kila mtu atataka awe na namna ya uongozi wake.

Japokuwa sina hakika lakini naamini katiba haimruhusu Rais kumfukuza VP kwenye nafasi yake labda chama kimfute uanachama na hapo VP atakosa uhalali wa kuwa VP.

Yetu macho.
Teh teh teh roho inakuvuja damu fashisti

We kachunge ng'ombe tu JIWE ndo kwisha habari yake

Mungu katuondolea kazi ya kumwaga damu sasa ni shwaaaariii

Ingekua amri yangu yule fashisti ningemtupa mto kagera awe chakula cha Mamba
 
Hata Samia alipokuwa VP alifuata alichosema Rais.
Na sasa Rais happen to be Samia.
So Mpango ajielekeze kufuata tu, na ndo mana ameapa Kwake.
Na sio kwa Magufuli.

Hataki, aseme naondoka.
Simple.
 
Back
Top Bottom