mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 820
- 1,335
Ukienda na mtoto mchanga siku ya kupiga kura utapewa higher priority.Sasa j.mosi nitaanza kupokea watoto chini ya miaka mitatu na kutoa Tsh.2000 kwa mzazi.Siku ya j.pili atakayetaka kuwahi aje amchukue mtoto kwangu kwa Tsh. 5000.NB:baada ya uchaguzi watoto wote watarejeshwa kwa wazazi wao salama.