Hilo ni gemu ni la windows OS?natumia linux elimentary ila tatizo linakuja pale napotaka play game inashindikana na nimesha danload apps zote zinazo husika na kurun game
ila napo fungua option ya ku add non listed programe haitokei ( both playonlinux and steam os)
Kimeo kivipi? Mimi nimekuwa nikitumia ubuntu muda mrefu. Sijaelewa unaposema kimeo unamaanisha nn.Hiyo OS niliwahi kusikia mtu anasema ni kimeo sana
kwake yeye hajaizoea amezoea windows OS na isitoshe pc aliletewa zawad kutoka nje ya nchiKimeo kivipi? Mimi nimekuwa nikitumia ubuntu muda mrefu. Sijaelewa unaposema kimeo unamaanisha nn.