Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,470
- 45,614
Kama kuna mtu anaenda Moshi kesho naomba lift nitalipa akitaka, nimekosa gari na kupanda daladala siwezi.
Asanteni.
Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usilete utani mkuu.unafika arusha na utachargi sh ngapi?Naondoka saa 3 kesho ni-PM
120 kama mwendo wa gariUna kilo ngapi!??
mi mdogo tu wala usijali yaaniUna kilo ngapi!??
kwani unanibeba wewe au gari?120 kama mwendo wa gari
magari yote yamemkataa
mafuta yanatumika sana mzigo ukiwa mzitokwani unanibeba wewe au gari?
Hii nimeipenda maana imenikumbusha zamani huko nchi za wenzetu "mitfahrzentrale'. Sijui kama bado kuna vitu kama hivyo siku hizi. Kwako mtoa mada kwa bahati mbaya sina usafiri.kama kuna mtu anaenda moshi kesho naomba lift nitalipa akitaka. nimekosa gari na kupanda daladala siwezi asanteni
njoo pmmi mdogo tu wala usijali yaani
120 kama mwendo wa gari
magari yote yamemkataa
hufai wewemafuta yanatumika sana mzigo ukiwa mzito