weka wazi.yeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.
<br />Yeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.
<br /> <br / aisee me nina shida hiyo plse assistYeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.
<br /><br /><br />
<br /><br />
we ka huitaji kaa kimya.
<br />Hayo maujanja si uyamwage hapa
<br />Nenda chuo husika unachotaka kuhamia,uliza ka bado kuna chance kwenye hyo course unayoitaka then ukikubaliwa utaenda tcu utapewa barua ya uhamisho..ila kama unataka kuhama courz bt ktk the same chuo,ni uongozi wa chuo chako husika ndo una jukumu hlo.me ndo namalizia mchakato huku wa kumtoa dogo mzumbe na kumpeleka sua so atakae weza pga hzo mishe apge faster kabla vyuo havijafunguliwa.over
<br />Me nataka kurudia form 2,nipe maujanja
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Are you serious?kwa jinsi elimu ya sasa ilivyo ya kisenge unaweza ukafeli hata kama ulifika chuo na ukagonga GPA ya 3.something,honestly