Lepapalongo
Member
- Jan 28, 2009
- 92
- 11
Yeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.
Kijana ujanja unafanya wewe? Au tcu? Acha vijana wakasome acha kupotosha umma unless sema upo tcu office jamaa wakufuate hapo with office number.
Yeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.
<br />Kijana ujanja unafanya wewe? Au tcu? Acha vijana wakasome acha kupotosha umma unless sema upo tcu office jamaa wakufuate hapo with office number.
Nenda chuo husika unachotaka kuhamia,uliza ka bado kuna chance kwenye hyo course unayoitaka then ukikubaliwa utaenda tcu utapewa barua ya uhamisho..ila kama unataka kuhama courz bt ktk the same chuo,ni uongozi wa chuo chako husika ndo una jukumu hlo.me ndo namalizia mchakato huku wa kumtoa dogo mzumbe na kumpeleka sua so atakae weza pga hzo mishe apge faster kabla vyuo havijafunguliwa.over