Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Mkuu kuna dawa nilinunua Pharmacy hapa Arusha mjini kweli ilinisaidia sana kama una WhatsApp nikutumie hilo box ukanunue .hutojutia hii dawa .nikiweza ku uploading hapa nitaiweke ili wengine wafaidike pia mkuu.Wadau nahitaji mrejesho ili nione kama kuna uhakika wa kupona nikainunue maana nimetumia dawa nyingi bila kupona, nimetapeliwa sana bila mafanikio.
Msaada jamani.