Kwa aliyepo Mwanza tujuzane Masoko na being za kuku wa kienyeji

kajekudya

JF-Expert Member
Sep 24, 2015
2,469
4,904
Wakuu mimi nipo vijijini huku, mji mkubwa ambao nipo karibu nao ni Mwanza. Sasa nataka nijaribu bahati kwenye biashara ya kuku wa kienyeji, niwe nawaleta mwanza.
Tafadhali kama kuna anayeweza kunijuza masoka hapo na bei zipoje.
 
Sipo huko ila navyojua kuku wa kienyeji wana soko na la uhakika cha msingi jaribu kutafuta oda mahoteli na kwenye migahawa mbalimbali.
 
Wasiliana na huyu, 0746 358933 ana uzoefu na hiyo biashara! Utanishukuru baadae
 
Back
Top Bottom