Sometimes tafakuri ni muhimu kabla ya kuongea kituBiashara ya BARAKOA ishaingia kidudu mtu.
Kama umemsikia mh. RAISI Leo uko dodoma
sijaelewa ulichopost mkuu!!
Other wise utumwe kutoka Marekani kuja uingereza alafu unakuja Africa juzi nimepokea mzigo wangu wasafirishaji ni aramex company sijui walitumia nini sitaki kujua zaidiWakuu naomba kufahamu kama kuna yeyote aliyeagiza mzigo kutoka Marekani hivi karibuni nahitaji kufahamu kama mizigo inafika au bado?