Kwa aliye pitia foundation program katoka chuo kikuu huria(out)

bro kay

JF-Expert Member
Sep 5, 2016
254
219
Wakuu, habari za uzima.

Foundation program ni course ya mwaka mmoja inayofundishwa katika chuo kikuu huria ikiwa na kama daraja kwa wahitimu(form four, form six au colleges )wanaotaka kwenda chuo kikuu ila hawajafikisha vigezo.

Hivyo kuna vigezo ukifikisha baada ya kumaliza hii foundation program unaweza kwenda chuo moja kwa moja.

Je kuna mtu ambaye amewahi kusoma hii course? Au kama unamfahamu yeyote aliyesoma hii course na kufaulu, Je kuna ugumu wowote kwenda chuo kikuu?? Au kuna usumbufu wowote?? Kwasababu nmesikia watu walio soma hii program huwa wanatemwa wakati wa kufanya application za chuo kikuu, hivyo natamani kujua kwa undani zaidi.

Ahsanteni sana.

Nawasilisha.
 
Kwa experience yangu, ni kwel kuna changamoto kwa wanafunzi waliomaliza foundation kupata chuo nje Ya Open University, ni kutokana na competition ya chuo husika na pia na kozi unayotaka kwenda kusomea (ingawa hata mwenye ufaulu mzuri form 6 au diploma pia anakutana nazo hizi changamoto za competition akitaka kwenda bachelor ) ingawa kuna baadhi wamepata kuchaguliwa kweny vyuo kadhaa kwa ngazi ya degree!
Kwa maonj yangu Ni bora kufanya Foundation kuliko kuli'seat, kwan ukisoma vyema kufaulu nin rahis na kujiongeza nafasi ya kwenda degree pia, ukitaka kuendelea hapo hapo Open University wanakupokea kwa haraka sana hauwez kukosa nafasi kutokana na kozi uliyoichagua!
 
Kwa experience yangu, ni kwel kuna changamoto kwa wanafunzi waliomaliza foundation kupata chuo nje Ya Open University, ni kutokana na competition ya chuo husika na pia na kozi unayotaka kwenda kusomea (ingawa hata mwenye ufaulu mzuri form 6 au diploma pia anakutana nazo hizi changamoto za competition akitaka kwenda bachelor ) ingawa kuna baadhi wamepata kuchaguliwa kweny vyuo kadhaa kwa ngazi ya degree!
Kwa maonj yangu Ni bora kufanya Foundation kuliko kuli'seat, kwan ukisoma vyema kufaulu nin rahis na kujiongeza nafasi ya kwenda degree pia, ukitaka kuendelea hapo hapo Open University wanakupokea kwa haraka sana hauwez kukosa nafasi kutokana na kozi uliyoichagua!

Ahsante [mention]Erick Martie [/mention] , kwenda kufanya diploma ya Pharmacy au kufanya Foundation unashauri nini kwa mtizamo wako ?
 
Binafs natafuta koz ya safety inayotolewa na OSHA napataje hayo makitu
 
Ahsante [mention]Erick Martie [/mention] , kwenda kufanya diploma ya Pharmacy au kufanya Foundation unashauri nini kwa mtizamo wako ?
Kutokana na situation ilivyo kwa sasa na Upepo wa ajira ulivyo! Nakushauri kapige diploma tu coz vyuo vpo vingi kwa upande wa diploma, ukifanya foundation hautaweza kupata chuo cha degree Pharmacy au MD kwa kupitia foundation si kwa sababu hauna sifa ila kwa sababu competition ni kubwa mno miaka ya hivi karibun so inaweza ikakupelekea ukaenda kusomea kitu ambacho hakikuwa kwenye mipango yako.
Pili, Ajira sikuhizi za serkali na taasisi zimegeukia kwa wenye diploma na certificate kwa upande wa afya kutokana na swala la cheap labour ukilinganisha na degree mishahara mikubwa!
Ni ushaur tu you can either take it or leave it yote sawa.
For more information nichek dm... Tutaelekezana mengi
 
Back
Top Bottom