View attachment 1966682
When music was music, sidhani kama kutakuwaga na album kama hizi za bongo flavor. Sahivi wote chenga tu
Mzembe mnoooooo....kati ya watu wanaboa kushabikia ni Ali kiba...Mtu wenu mzembe.. Shida yake hiyo tu.
Mapenzi kitu gani dah Mb Dogg alijua kunyooshaView attachment 1966682
When music was music, sidhani kama kutakuwaga na album kama hizi za bongo flavor. Sahivi wote chenga tu
kwakweli hata mimi najaribu kupata feelings ile wanapata lakini wapi,labda nijipe muda pengine nitakubaliana na maoni yao.mmh ebu nisikilize tena maana naona nipo opposite na vijana. sijui ni umri😂😂😂. salute ndo ngoma tu apo! zingine 😩