Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,662
utupe mrejeshookwakweli hata mimi najaribu kupata feelings ile wanapata lakini wapi,labda nijipe muda pengine nitakubaliana na maoni yao.
utupe mrejeshookwakweli hata mimi najaribu kupata feelings ile wanapata lakini wapi,labda nijipe muda pengine nitakubaliana na maoni yao.
Nisipoleta mrejesho jua ndiyo basi tena Radha imekosekana mazima.utupe mrejeshoo
Acha chuki au ulimpa tak* akashindwa?Mzembe mnoooooo....kati ya watu wanaboa kushabikia ni Ali kiba...
Chuki sio nzuri mkuungoma za kawaida sana tena sana za kuchagua yani ndo unapata kama hiyo oya oya sijui nimeangalia video sijamaliza nikaacha. Nyimbo kama gospal hazina vina wala mizani, yani jamaa bila ile sauti kwa sasa ni mweupe sana kwenye utunzi yamebaki mahaba tu huwezi muweka hata na mbosso kwenye utunzi akasimama.
NaamWakuu
Alikiba hapewi sifa anazostahili.
Kibongobongo mpaka sasa hana mpinzani maana wengine wote wanacopy & paste.
Albam zao huboa sana kwani hukusanya nyimbo zao tu zilizotolewa huko nyuma na kusema ni album.
Alikiba only king ameitendea haki bongo fleva. Tunapata ladha ya mziki wa Tanzania tofauti na hayo ya kinaijeria na amapiano.
Kudos kwako King Kiba
Wewe unavyompa tak* huwa anaweza mkuu?Acha chuki au ulimpa tak* akashindwa?