Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Hahahahaaa hii nayo ni kali ya mwaka, akikuuma mdomo unavimba hata hamu ya kubusu hakunaBachache,
Nimeipenda sana signature yako, ila kumbuka kitu kimoja. NYUKI AKISHAKUUMA MARA MOJA,RUKHUSA KUMPIGA BUSU. Kwa hiyo si kwamba nyuki huwa hapigwi busu, hapana. Unatakiwa umwache akuume kwanza, halafu utampiga busu kiulaini sana. Ila sasa hata hivyo, kwa nini uwe na hamu ya kumpiga busu nyuki? What should be the motive behind? Ila signature yako imenifurahisha sana